MulengaMulenga
Member
- Dec 29, 2021
- 54
- 89
Nenda cutting master anaweza kukusaidia.Habari wakuu! Nina rafiki yangu ni mzungu anaishi Dar na anataka kunyoa nywele zake, amejaribu saluni kadhaa ila hawajamnyoa vizuri, kwa anayejua saluni wanaoweza kunyoa vizuri nywele za wazungu na wenye bei nafuu anisaidie tafadhali.
Kwa zulu-mbeziMimi pia nina nywele za kizungu nataka kunyoaπ₯΄π₯΄π₯΄
Unanifuata au nije mwenyewe?Kwa zulu-mbezi
Upendavyo wewe...!Unanifuata au nije mwenyewe?
Nakutext Whatsapp, sipati any kind of your replyπ€.Upendavyo wewe...!
Hadi February 28 ,inafika na unanifanyia hivi..π
Nakuja.Nakutext Whatsapp, sipati any kind of your replyπ€.
Sasa elfu 15k ni hela nyingi sana hizo?Ipo lakini sio ya bei chee. Kichwa cha juu cha mzungu wanakitengeneza kwa 15,000 Tsh hapa Sinza. Wanafanya hivi ili kulipisha kisasi cha yale yote waliofanyiwa mababu zetu enzi za utumwa ikiwa ni pamoja na kudhurumiwa dhahabu wakati wakicheza mchezo wa bao
Kwani nayo pesa nyingi hiyo? Hata tip tu ni ndogo.Ipo lakini sio ya bei chee. Kichwa cha juu cha mzungu wanakitengeneza kwa 15,000 Tsh hapa Sinza. Wanafanya hivi ili kulipisha kisasi cha yale yote waliofanyiwa mababu zetu enzi za utumwa ikiwa ni pamoja na kudhurumiwa dhahabu wakati wakicheza mchezo wa bao
Sema kweli? [emoji23][emoji23][emoji23]Mimi pia nina nywele za kizungu nataka kunyoa[emoji3061][emoji3061][emoji3061]
SikutaniiπππSema kweli? [emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna siaminii [emoji23][emoji23][emoji23]Sikutanii[emoji23][emoji23][emoji23]
πππMbna siaminii [emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu tuma tena nione, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unatakiwa uamini, au umesahau nywele zangu selfika?
Kweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Nitabakia nimekazaUpendavyo wewe...!
Hadi February 28 ,inafika na unanifanyia hivi..π