Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Mwanamke ndie kiumbe pekee anayeweka nywele juu ya nywele kucha juu ya kucha ndiye kiumbe anatembea na maziwa fresh lkn yeye hayatumii anauziwa hotelini🤣Mbna siaminii [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke ndie kiumbe pekee anayeweka nywele juu ya nywele kucha juu ya kucha ndiye kiumbe anatembea na maziwa fresh lkn yeye hayatumii anauziwa hotelini🤣Mbna siaminii [emoji23][emoji23][emoji23]
icho kipilipili kama mkutano wa nzi unapatawapi nguvu za kulizia saluni binti yanguMimi pia nina nywele za kizungu nataka kunyoa🥴🥴🥴
Wapo kkoo na kisutu kuna wahindi wananyoa style yoyote price kuanzia 20k tuHabari wakuu!,
Nina rafiki yangu ambaye ni Mzungu anaishi Dar na anataka kunyoa nywele zake, amejaribu saluni kadhaa ila hawajamnyoa vizuri.
Kwa anayejua saluni wanaoweza kunyoa vizuri nywele za Wazungu na wenye bei nafuu anisaidie tafadhali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mabwakuuuMwanamke ndie kiumbe pekee anayeweka nywele juu ya nywele kucha juu ya kucha ndiye kiumbe anatembea na maziwa fresh lkn yeye hayatumii anauziwa hotelini[emoji1787]
😁😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mabwakuuu
Mkuu mimi ni Kinyozi Binafsi,nina uzoefu na hizo nywele kwa miaka mitano nikiwa ktk jiji la Capetown south afrika.Popote nakufuata ndani ya Dar es salaam.Nicheki 0756331481Habari wakuu!,
Nina rafiki yangu ambaye ni Mzungu anaishi Dar na anataka kunyoa nywele zake, amejaribu saluni kadhaa ila hawajamnyoa vizuri.
Kwa anayejua saluni wanaoweza kunyoa vizuri nywele za Wazungu na wenye bei nafuu anisaidie tafadhali.