Nani anakula asilimia kumi ya usajili, Yanga SC?

Nani anakula asilimia kumi ya usajili, Yanga SC?

GAZETI

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
5,286
Reaction score
6,736
Wakuu wengine tuko mbali na Magazeti, tunachoambulia ni heading tu. Kuna gazeti liliiripoti kuwa yule kiungo Mkongo alitaka kukimbia Yanga kwa sababu ya 10%, Gazeti hilohilo leo limeripoti kuwa tatizo hilo limetatuliwa. Tusaidieni tulio mbali na Magazeti ni nani alitaka kulamba 10% ya Tshishimbi?

Inaonesha huu ndio mtindo uliopo kwenye Vilabu vyetu hapa nchini.
 
Wakuu wengine tuko mbali na Magazeti, tunachoambulia ni heading tu
kuna gazeti Liliripoti kuwa yule kiungo Mkongo alitaka kukimbia yanga
kwa sababu ya 10%, Gazeti hilohilo leo limeripoti kuwa tatizo hilo limetatuliwa

Tusaidieni tulio mbali na Magazeti ni nani alitaka kulamba 10% ya Tshishimbi?
Inaonesha huu ndio mtindo uliopo kwenye Vilabu vyetu hapa nchini.
Gazeti gani hilo mkuu
 
Yanga.jpg

TEN PERCENT
 
Back
Top Bottom