Nani anakula mkwanja mwingi kwenye show kati ya hawa jamaa?

King zamunda anasema kujua kazi raha sana afu yeye ni mkubwa kuzidi tuzo na mziki wake una thamani kubwa kuzid tuzo asa mm nahisi yy ndo anakula mkwanja mwingi kwa kila show moja
 
Hivi mmeona ratiba ya Show za diamond Ni nying mno zaidi en kuhusu pesa Sina imani kama Kiba anaeza fikisha hata 2M kwa show moja akati mond kwa show moja ni zaidi ya 15M
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] kuna chuki na ushabiki 2m per show u can't be serious
 
Mwanamuziki #kingkiba asifananishwe na mnenguaji #domo muache utoto kabisa
Wewe unataka watu tuongee ukweli halafu museme oooh tumegundua kuwa kuna watu wanatumia fedha zao kwaajili yenu ili nyinyi mulipwe 1ml kwa shoo halafu DIAMOND alipwe 100ml kwa shoo hiyo hiyo.
 
King zamunda ndo mambo ya kijinga cjakuelew mkuu

mkuu ukirejea iyo post yako vizuri kuna mtu umemfananisha na superstar platnumz apo,sasa cjui ndo huyo the so called king zamunda au vipi,jiongeze tu mkuu....teh teh teh!JEE UTANIPENDA? few hrs to come
 
Wewe unataka watu tuongee ukweli halafu museme oooh tumegundua kuwa kuna watu wanatumia fedha zao kwaajili yenu ili nyinyi mulipwe 1ml kwa shoo halafu DIAMOND alipwe 100ml kwa shoo hiyo hiyo.
Tuthibitishie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…