tata mvoni
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 534
- 81
vp jamani na yale mafuta ya mamisi ukijipaka unafuatwa na nzi hadi unalia maana unawafukuza hadi unachoka du! Jamani nyie acheni tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha haa haaa haaa sasa mbona hujamalizia hadisi hiyo,alipoikuta chupi kifuani mbele ya kadamnasi action ya kwanza aliyofanya nini ili kujinusuru?Nimekumbuka kitu kimoja nikiwa katika baa moja nimeletewa chupi na chinga!Chupi za kichina! Mwisho wake nikakumbuka vyupi vya VIP nilifurahishwa na ufungaji wake katika boks (Prkg) ila nakumbuka kadhia yake kukatika ktk maungio!! Kamkanda kachi!! Hapo nazungumzia 80's)[/QUOTEnKaka nimecheka hadi mbavu sina, VYUPI vya VIP vilikuwa noma, si unajua mashindano ya umiseta, Tukiwa F3 mwanangu, mashindano ya madarasa, kuna mwanafunzi mmoja, alikuwa kwenye mbio, basi akiwa katika motion na amewatangulia wenzake yale maungio ya VIP yakakatika, basi ikachomoza juu ya pensi ile hadi kifuani huku akiwa kifua wazi, umati wa wanafunzi uliokuwepo kuiona wakaaanza kumshangilia, mabinti kwa wavulana, basi jamaa akadhani wanamshangilia kwa kuwa amewatoka wenzie, jamaa akaongeza speed hadi akawa wa kwanza huku akishangiliwa vilivyo na mabinti wakimfuata hadi mwisho.Ile kufika mwisho akipumua pumua akaona iko kifuani, Jamaa kidogo azimie aliona aibu na akajitoa kwenye mashindani. Hakurudi kwenye mbio tena pamoja na juhudi za walimu kumbebembeleza.Hizo CHUPI NUKSI ndugu yangu.
Du hii kali sana,sasa hapo ticha alipogundua chupi iko kifuani action ya kwanza aliyofanya ni nini kabla ya kutimkaHa ha ha! kakakiiza umenisababisha nimrimembe mwl wanguenzi hizo alikuwa anatoa demo ya kucheza basketball wakati wa umisetaNjombe akawa amevua shati,alikuwa na mikwara kibao na alikuwa kifua wazimara chupi ikapanda yeye hakushituka mpaka ikafika kifuani,halafu ilikuwa chafu ileile mbaya,simnakumbuka zilivyokuwa zinaonesha uchafu!!! Nakwakuwa alikuwa mpenda sifa wanafunzi hawakmshtuawakawa wanapiga kelele ticha! ticha!yeye akadhani wanamshangilia,Hamadi kujiangalia kitu kipo kwapani,aliondoka hakurudi mpaka mashindanoya umiseta yakaisha.😛ound:😛ound:😛ound:😛ound:😛ound:😛ound:
Hiyo ya kioo naikumbuka kuna jamaa alikuaga primary anaifanya hiyo sana,siku moja wanawake walimgundua wakaenda kumripoti kwa mwalimu mkuu,alanyukwa viboko huyo na suspension akapewa.Kuna jamaa mwingine huyo ndio alitoa kali alikua anamfuata msichana anamwomba shilingi ya kununua mandazi,mara nyingi wasichana wanamwambia hatuna,akiambiwa hivyo anamkomalia huyo msichana anamwambia unayo,halafu anamwambia kama hauna lete nicheki mfukoni akiruhusiwa kosa anaingiza huo mkono mfukoni anajifanya kupekecha kutafuta hiyo hela kumbe anagusagusa hiyo nanihii,akitoka hapo anafurahia anakuja kutuadisia,huyu jamaa sasa hivi ni engineer bosi mkubwa tu huwezi amini kuwa utotoni alikuwa mpumbavu kiasi hichonakumbuka wanawake tulikuwa na chupi flani zimechorwa moyo na mkuki unapenya kati unatokeze upande wa pili zimeandikwa express mid night.. ukiwa nayo hiyo hata sketi ikifunuka hadi kichwani huna wasiwasi.. otherwise nakumbuka waschana wengine hata chupi walikuwa hawavai na ikifika jumatatu na alhamisi tunafanyiwa ukaguzi eti tunachunguliwa hadi chupi... wengine wana za jinja wengine hawana kbs.. na kale ka mtindo ka wavulana kuweka kakioo chini ya miguu ya waschana ili watuchunguliee. jamani leo nimecheka sana mmenikumbusha mbaali sana
Duh umenikumbusha mbali!Nakumbuka siku moja nimeivaa kwenye mechi,baada ya mapumziko navua tshirt ili nipunge hewa,nikaikuta makwapani!!!!
Duh ilikuwa aibu ya mwaka!Mashori kibao walikuwa uwanjani!
nenda madukani zinapatikana
nenda madukani zinapatikana