Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miss changaIngawa wanasema uzuri Upo kwa anayeona(beautiful is on the eye of the beholder)
Pia ingawa wanawake ni wagumu sana kueleza hisia zao kwa mwanaume wanayempenda at the first time ila hubaki Na ukweli huo moyoni Na aghalabu hujaribu kuzieleza au kufikisha hisia hizo kwa
Lugha ya mwili(body language)
Jf wanawake Na wasichana hawajawahi kuwashuhudia muonekano Wa men wengi Wa jf
Ila wakati mwingine hushawishika
Kukubali miadi Na hatimaye kuonana ana kwa ana au hata kutikisana nyavu!
Mwanamke huyu je anakuwa amevutiwa Na mwandiko au intelligence ya mwanaume?
Isitoshe wapo wanawake jf ambao hukili wazi kuwa kuna mwanaume anampenda humu ila anahofia kumuanika
Tangu nimekuwa member hapa kwa ka research kadogo(uchunguzi)
Nimebaini mwanaume wafuatao wanashobokewa sana humu
Samahani nitakao wataja bila idhini yenu ashakumu si matusi
Daby,smart 911
Nyani ngabu
Le mutuz
Saint ivuga
B40
The bold
Ontario
Wakina dada fungukeni mnawapendea nini hawa jamaa maana unaweza kukuta ni wapiga debe tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sura ya kati ipoje sasaAkiwa na sura nzuri sana namuona kama demu mwenzangu
Hapo kwenye ushambenga sijaelewa, fafanua kabla adrenaline yangu haijakaa sawa[emoji15]Means yangu macho. sitaki ushambenga miyeeee Wacha niendelee kushuhudia kimya kimya [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
Mahondaw wa Smart911
Lakini mimi sio mwanga[emoji12]
Ukiona Mwanaume anashinda humu 24 hrs,Huu uzi umejaa ghafla bin vuu inaonyesha jinsi gani wanaume wenzangu walivyo desperate. Kama unajiamini huwezi kupatwa na shaka kuhusu kupendwa nikipendwa na wanawake wa kitaa,job inatosha
great thinker
Nimeona mkuu ni kosa la ngeli kisarufiUliyepost unazingua umesema mwanaume aimaana only one mmoja so unatutajia list rudia kusoma kichwa cha habari yako harafu ulinganishe na maelezo lazima tukukosoe ili usirudie tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu gani mkuuMkuu unaupungufu wa kitu fulani mwilini
Sent From Ikulu-Magogoni street
Sura ya kiume. Isiwe nzito kama ya gudume, asiwe mrembo kama naniliuuuu..siwezi kumtajaSura ya kati ipoje sasa
Sent From Ikulu-Magogoni street
Tayari hormones zangu zimeupokea ujumbe wako Mbiti, tutaihubiri tena kuanzia kesho[emoji12] [emoji12] [emoji1] tuanzie tegeta, mwenge au magomeni?hahahha wewe ni mwinjilist hakuna neno!tunaeza hubiri injili pamoja watu wamjue Yesu!lol
We angalia mkuyati usimwangalie usoni wakat unachezeshwa gwaride!Akiwa na sura nzuri sana namuona kama demu mwenzangu
hili nalo ni neno la kingereza pia
Hapo kwenye ushambenga sijaelewa, fafanua kabla adrenaline yangu haijakaa sawa[emoji15]
OK OK forex traderkwenye list hiyo ONTARIO ni level nyingine kabisa yaani hata sisi wanaume tunatamani tungekiwa yeye. kungekuwa na uwezekano wa binadam kuazimana vichwa wallah ningefanya juu chini walau akanikodishia hata kwa wiki 1