Ha haaa tulia tu. Ndege ni wako..manati ya nini?
HahahaKwanini usilale? Mi nakoroma vzr, akirudi namfungulia, msosi huo hapo narudi kulala.
Itakuwa KUNGURUhahaha ndege BONGO
Kwa amani tu. La sivyo utakesha kila siku mwenzio anaponda raha, ukute anakoroma kwenye kitanda kingine. Taabu yote ya nini??Hahaha
We sikuwezii
Ha haaamie pia nalalaga fresh! sina tu mdogo wa kike lakini ningekuwa ane akaaniambia anaolewa,tena mume muabudu pombe namlaza ndan! sitak kbs aic! mxiew
Ndioo hivyo ka uko na usingiziii unalala ila wengine ndo hatuweziKwa amani tu. La sivyo utakesha kila siku mwenzio anaponda raha, ukute anakoroma kwenye kitanda kingine. Taabu yote ya nini??
Ndoa yako changa. Wenzio tunapiga 10+Ndioo hivyo ka uko na usingiziii unalala ila wengine ndo hatuwezi
Ko nitakuja zoea eehNdoa yako changa. Wenzio tunapiga 10+
Haha nyie watu wawili, Mungu azidi tu kuwatunza. Yani mnanifurahishaga sana, na kuna muda daah basi tumie pia nalalaga fresh! sina tu mdogo wa kike lakini ningekuwa ane akaaniambia anaolewa,tena mume muabudu pombe namlaza ndan! sitak kbs aic! mxiew
Same to me. Tukeshe wote tukiwasubiri..teh teh bado mapema lakini, tuendelee kujimwayamwaya hapa.
Inategemea..Ko nitakuja zoea eeh
Ndioo hivyo ka uko na usingiziii unalala ila wengine ndo hatuwezi
Tunaondoa stress shogaa..Haha nyie watu wawili, Mungu azidi tu kuwatunza. Yani mnanifurahishaga sana, na kuna muda daah basi tu
EeehhInategemea..
Mwenzanguu yuko nje mamyahahahha yaana huwez kulala kisa ?