Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?

Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?

mie pia nalalaga fresh! sina tu mdogo wa kike lakini ningekuwa ane akaaniambia anaolewa,tena mume muabudu pombe namlaza ndan! sitak kbs aic! mxiew
Haha nyie watu wawili, Mungu azidi tu kuwatunza. Yani mnanifurahishaga sana, na kuna muda daah basi tu
Same to me. Tukeshe wote tukiwasubiri..teh teh bado mapema lakini, tuendelee kujimwayamwaya hapa.
 
Back
Top Bottom