Sawa bhanaa... Ila Mungu anamuona ajuehahhahah!kila ntu na ndoa yake! we kesha mamy
Haha nyie watu wawili, Mungu azidi tu kuwatunza. Yani mnanifurahishaga sana, na kuna muda daah basi tu
Loving you its easy coz your are beautiful.... Am glad you are in life...Owkey nimekuelewa sweetheart Wacha tulale Smart911 wangu miyeee......
We will see them tomorrow my king let's sleep... Ailavyuuuuuuuuuuuuu [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Sawa bhanaa... Ila Mungu anamuona ajue
Kwani veepeohoo sawa
Mungu amuone tuu anavyofanya wenzie popohahahahahahahahah mie nishakuwa na ngozi ngumu! hakuna Mungu anamuona au vipi! ANATUONA WOTE
Kwani veepe[/QUOT
haaha hamna kama amekuambia atachelewa lazima umsubirie !wewe case yako ndg! sie case zetu hauambiwi nitalate au vip nakeshaje macho sasa!
Basi Sawa tuu... Na inakuwaje asiseme
Mungu amuone tuu anavyofanya wenzie popo
Lakinii hawa binadamu wa upande wa pili wako na roho za ajabu mnoo, hivi hawa wenzetu huwa wanawatoa wapiii wale wanaorudi saa kumi na mbili???!!!mlevi hasemagi yy analiunga tu ju kwa ju
AmenMkuu sugua goti mwombe Mungu wako kulingana na imani yako hakika hutalala mda umeenda kwa kumsubiri mwenza wako
Amen