MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
Hahahaaaaa!! Usinikumbushe jamani, we msubiri bwana umvue soksi.
hahahahhaa haya nasubiria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaaa!! Usinikumbushe jamani, we msubiri bwana umvue soksi.
Aaaah hii prayer ni ya hivi hivi au? Mbona kama nimepitwa[emoji137] [emoji85] [emoji85]You know you just put a smile on ma face right now, right?!..[emoji2]
Asante shostito, Mungu Akubariki na kukuzidishia Upendo wake mkuu upitao mapendo yote, ubarikiwe utokapo na ubarikiwe uingiapo. Na kila unachogusa kibarikiwe na kurudi mara mia elfu, na mkono wowote utakaoinuka against you?, nina uweka chini.
Uzidishiwe na Ubarikiwe milele Amina!!!!
[emoji8] [emoji16] [emoji2] [emoji87] [emoji85]
Oooh nikikutaga quote yake nashtukajeee haha, [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Na ukikutana na comment yake unaisoma ukiwa na akili zako zote timamu. Daaaah acha tu!!!
Hahahaaaaaaa!!You know you just put a smile on ma face right now, right?!..[emoji2]
Asante shostito, Mungu Akubariki na kukuzidishia Upendo wake mkuu upitao mapendo yote, ubarikiwe utokapo na ubarikiwe uingiapo. Na kila unachogusa kibarikiwe na kurudi mara mia elfu, na mkono wowote utakaoinuka against you?, nina uweka chini.
Uzidishiwe na Ubarikiwe milele Amina!!!!
[emoji8] [emoji16] [emoji2] [emoji87] [emoji85]
Haha hilo lazima, huwezi kujibu kilayman
Picha bomba kwa walio single. Usingizi mwanana
Nisaidie tu kushangaa mama, maana sio kwa kuombewa huko. Hata mimi mgeni[emoji85] [emoji85] [emoji85]Aaaah hii prayer ni ya hivi hivi au? Mbona kama nimepitwa[emoji137] [emoji85] [emoji85]
Kwa kweli sijaamini, sijawahi kumuona my gal akishusha maombi kiasi hicho hahahaHahahaaaaaaa!!
Heaven Sent njoo uone nilivyoombewa mama. Kumbe hiki kichwa sio mimi na wewe tu anaetuvutia.[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Hahahaaaaaaa!!
Heaven Sent njoo uone nilivyoombewa mama. Kumbe hiki kichwa sio mimi na wewe tu anaetuvutia.[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Nimekabwaaa[emoji85] [emoji85][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
espy
Nisaidie tu kushangaa mama, maana sio kwa kuombewa huko. Hata mimi mgeni[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Damn!!! Kumbe hata wewe ulifanya research!! Kwakweli zile comments haziwezi kumuacha mtu salama. Unajikuta tu unataka kujua zaidi.
Subiria huku unafanya maombi.hahahahhaa haya nasubiria
hahahahah uwe na moyo wa kupondeka tu mamy
Yaani nacheka Sina Mbavu mieee.... Ko bado hajarudi...
Hahaha Daaaah
Subiria huku unafanya maombi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa kweli sijaamini, sijawahi kumuona my gal akishusha maombi kiasi hicho hahaha
We naona haujakabwa, mie nakaribia kupasuka kabisa.Nimekabwaaa[emoji85] [emoji85]
Hahaha jishaue sasa uachike, uso ukose nuru na mashavu yachume kunde, utapaukaaaaahahahahhaa bado mamy mbn mapema saa hizi! tunasisitizwa tuwe WAVUMILIVU MPK SIKU YA KIAMA!tutaenda kukabidhiwa taji zetu mbinguni!heheheeh