Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,384
Hahahahah bado na maini lolest!
sasa hadi size ya bwana mkubwa naona imeanza kunywea,....sasa hii ni diet au ndo nakufa jaman
Kufa hufi ila cha moto utakiona!
duh...kama kile ndio kiswahili basi acha nibaki na kichaga changu....
anakufundisha kila kiswahili cha mjini. Sio unaongea vitu vya kamusi tu, wengine hatukuelewi.