Kwani hapa kuna nini eti?13 mega pixel
Relief Mirzska
Nokia83
Mshana Jr
Asprin
mkwepu jr .....yani wewe nakupa big up kubwa sana
CONTROLA
Na we babu si usome title au ndio uzee?Kwani hapa kuna nini eti?
Nimeona umenitaja biology yangu ikasimama ghafla nikashindwa kuendelea kusoma.Na we babu si usome title au ndio uzee?
πππ ikalishe kwa lazima urudie upya kusomaNimeona umenitaja biology yangu ikasimama ghafla nikashindwa kuendelea kusoma.
Bishi hilo. Likitaka ishu ni lazima lipate ndo litulie. Na mkombozi wangu kwa leo ni wewe, Depal mtoto mzuri usie na doaπππ ikalishe kwa lazima urudie upya kusoma
πππ likija huku me nitalifinya hadi liache ubishiBishi hilo. Likitaka ishu ni lazima lipate ndo litulie. Na mkombozi wangu kwa leo ni wewe, Depal mtoto mzuri usie na doa
Tena hao crushie (s) ndio nawataka πMbona mie sasa wapo wengi.?? Na wewe ukiwemo lakini malkia Depal, my list is endless nitaanza wachanganya mpaka crushie bure.!! π π
Shukrani MDepal,Khantwe na Manengelo....Brothers,kuna Mshana Jr. Na Zero Iq
Haha.!!Tena hao crushie (s) ndio nawataka π
Forget about endless list, just mention few of them esp wale the best π
Mwambie Twinnie wako nam-admire π