Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuona kitambo mdogo sijui ndio tunapita njia tofauti.Nipo love!.. miss u
Relax...... Nothing serious!!!!To do what?
Atabakia na jando refu tuMaskini hapendwi, Maskini Love ataisikia ktk media na kuona kwa macho tu..
Mamyteh!haya mie mhenga nakubali !mie ndo naamka!jana nimechelewa kulala!.najua kbs na ww huend maana sasa hv lesson session i thnk!
Mbona unaniambia nirelax ? Ngoja muosha rungu aje?Relax...... Nothing serious!!!!
Na kweeeli kumekucha... Jana ukaniachasalama tu mamy! kumekucha!
MmmmhMbona unaniambia nirelax ? Ngoja muosha rungu aje?
Na kweeeli kumekucha... Jana ukaniacha
Hahahawewe ndo ulipotea nikajua unhudumia ndoa!tulibaki wa4 espy,nalendwa,HS,na mm! jana nashukuru mume kawahi kurudi!karud 8 kasoro!nikawa na aman na furaha tele nikalala!
Hahaha
Na kweeeli aliwahi... Mie nililala bila hata kujua... Yaani nimelala simu mkinoni nashtuka kumbe nae kesharudi na kalala kuliko mieee!!!!
Hahaha
Na kweeeli aliwahi... Mie nililala bila hata kujua... Yaani nimelala simu mkinoni nashtuka kumbe nae kesharudi na kalala kuliko mieee!!!!
Asante mwaya...hhhahha kumbe na ww alikua hayupo!pole sana!anatumia kilaji
Aiseeeekitendo cha kurudi saa8 kasoro siku ya ijumaa ni kitu cha kujivunia sana sana mwaya
Aiseeeekitendo cha kurudi saa8 kasoro siku ya ijumaa ni kitu cha kujivunia sana sana mwaya
Asante mwaya...
Kilaji kwake ni kama maji na mastori zake za mpira ni changamotoo