Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?

Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?

Juzi niliona walitajwa wanaume wanaovutia jf,,hebu leo tajeni wanawake wanaovutia jf,,pia utaje na wanaokuvutia wewe unatamani hata kuonana nae ,,,mim sitotaja msije sema nimependelea nimeona niwaachie nyie wanaume maana ndio mnajua na kuna wengine humu mnaonana kabisa so we taja tu
Lets gooooooooo
 
Kila saa nakuwaza hadi nakutaja kwenye uzi wa wanaume.
Haya ni mahaba. Yaani hatarious ( in maserati voice)
Asante kwa maupendo mpnz
Kheeee....???

wpid-KAJALA.jpeg
 
Back
Top Bottom