Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
There is no need but only my eyes ndo yatafanya kaziNikuazime peny yangu? ni nzuri kwa kuchorea
Ukipewa jibu la kueleweka fanya kuntag.anavutia kwenye avatar au kwenye kitu gani?
maana kama ni sura halisi za watu hatuzijui humu
Juzi niliona walitajwa wanaume wanaovutia jf,,hebu leo tajeni wanawake wanaovutia jf,,pia utaje na wanaokuvutia wewe unatamani hata kuonana nae ,,,mim sitotaja msije sema nimependelea nimeona niwaachie nyie wanaume maana ndio mnajua na kuna wengine humu mnaonana kabisa so we taja tu
Lets gooooooooo
Ngoja mimi nimpe jibu la kueleweka, tang'ana anayevutia humu na hata kama ulishawahi kuonana naeUkipewa jibu la kueleweka fanya kuntag.
-Ndumilakuwili-
Ni hataricious[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kila saa nakuwaza hadi nakutaja kwenye uzi wa wanaume.
Haya ni mahaba. Yaani hatarious ( in maserati voice)
Asante kwa maupendo mpnz
Tuheshimiane weweKheeee....???
![]()
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yes le season lianzie hapaaaa.Tuheshimiane wewe
Tuheshimiane wewe