Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?

Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?

😉😉 dada naendelea
kusubiri....usinibadilishie mada tafadhali 😂😂😂
afu ukatupie kapic basi nimekumiss 😔
Haha'..!!
Mdogo wangu I am only being honest here jamani.!
Unataka kuona wapi.? uso, mkono ama mguu??
 
Safi sana ukuje PM nina zigo lako

Nani kakwambia Depal anatumia hii makitu?
1573736851228.png
 
Back
Top Bottom