Nani anamiliki Toyota Filda humu?

Nani anamiliki Toyota Filda humu?

Mwenye kuwahi itumia Toyota fielder namuomba inbox plsss cc 1500,,Ubarikiwe
Kuna rafiki yangu anayo ya mwaka 2008, m naona ipo vizur tu, japo inahitaji utunzaji zaid wa body, maana hii bodi yake sio ngumu kama zile za kuanzia 2001.

Yote kwa yote ni gari nzuri sana hasa ukija kwenye swala la nafasi ndani na matumizi ya mafuta.

Changamoto nyingine ni kwamba, gari ipo chini sana hivyo haihitaji njia korofi sana.

Hayo ndi niliyoyaona kwa mm, wajuzi zaidi watachangia pia.
 
Barikiwa kaka Rasul,,how if nikioandisha juu inchi Moja hivi?? Hope itapanda kiasi,,Mafuta ukimuuliza Jamaa unaweza fika km 15 hivi?? So far naomba nikupigie
Kuna rafiki yangu anayo ya mwaka 2008, m naona ipo vizur tu, japo inahitaji utunzaji zaid wa body, maana hii bodi yake sio ngumu kama zile za kuanzia 2001...
 
Barikiwa kaka Rasul,,how if nikioandisha juu inchi Moja hivi?? Hope itapanda kiasi,,Mafuta ukimuuliza Jamaa unaweza fika km 15 hivi?? So far naomba nikupigie
Ukipandisha kidogo haina shida, pia kwenye swala la mafuta 15 kama ni mwendeshaji mzuri. Pia inazid hyo 15 kma upo high way.

Yote kwa yote gari ni nzur sana.
 
Ukipandisha kidogo haina shida, pia kwenye swala la mafuta 15 kama ni mwendeshaji mzuri. Pia inazid hyo 15 kma upo high way.

Yote kwa yote gari ni nzur sana.
Nimenunua ,,tamu saaana highway 17Km ,,,gari nzuri mmmmno Nina mwaka sijawahi badili chochote kwenye gari kaaabisa
 
Mwenye kuwahi itumia Toyota fielder namuomba inbox plsss cc 1500.

Ubarikiwe
Achana na Gari za kishamba gari ndefu haina hata mvuto yan hata ukipak sehem wafu hawashtuki.
Naona fielder haina tifaut na Probox kazi kubeba mizigo tuh kwasababu ya ule Mbut mkubwa.
Pls nunua gar ambayi hata ukikwama ukiuza unapata ela nzur nasiyo kuteseka kumtafuta mtej.

Jiran yanvu anayo fielder huu mwaka wa pili imepostiwa Social media mbal mbal ila haijanunuliwa mpk leo licha ya bei kuwa 4.5 M na ni namba C
 
Achana na Gari za kishamba gari ndefu haina hata mvuto yan hata ukipak sehem wafu hawashtuki.
Naona fielder haina tifaut na Probox kazi kubeba mizigo tuh kwasababu ya ule Mbut mkubwa.
Pls nunua gar ambayi hata ukikwama ukiuza unapata ela nzur nasiyo kuteseka kumtafuta mtej.

Jiran yanvu anayo fielder huu mwaka wa pili imepostiwa Social media mbal mbal ila haijanunuliwa mpk leo licha ya bei kuwa 4.5 M na ni namba C
Wafu hawashtuki dah[emoji23][emoji23]
 
Achana na Gari za kishamba gari ndefu haina hata mvuto yan hata ukipak sehem wafu hawashtuki.
Naona fielder haina tifaut na Probox kazi kubeba mizigo tuh kwasababu ya ule Mbut mkubwa.
Pls nunua gar ambayi hata ukikwama ukiuza unapata ela nzur nasiyo kuteseka kumtafuta mtej.

Jiran yanvu anayo fielder huu mwaka wa pili imepostiwa Social media mbal mbal ila haijanunuliwa mpk leo licha ya bei kuwa 4.5 M na ni namba C
Ungemshauri ni gari gani unayohisi inauzwa kirahisi kuliko fielder second generation.....sio kila mtu hapendi gari ndefu.
 
Back
Top Bottom