Watapata shida sana, Chura ndio njie nyepesi ya kupata Umaarufu kwa wadada.
Angekuwa na chura basi anasbo angemjua. Lakini MLEVi Mmoja hana details zake kweli?
Kwa tako tu hakuzidiii [emoji39]Nilijua hata chura anae.kumbe kasura tuh...
Mweee mweee mweee
Mie nakataa, huyo umemwona hana chura na ni maarufu sana
Wanawake wengi wakorea hawana chura na wana umaarufu sana
Mamiss world toka 1990 hawana chura, hebu katafute uone
Mimi sina mwanamke wa korea ninaemjua.
Hao wakorea na mamis wamepta huo umaarifu kwa njia zao au shuhuli zao wanazozifanya. Ila ukiwa na chura tu tayari nayo ni njia tosha ya umaarufu.
Chura ndo kila kitu kama kwenye avatar yakoNilijua hata chura anae.kumbe kasura tuh...
Mweee mweee mweee
Watu wa aina yako ndio anaowasaka!!
Hiyo picha ya 2 kutoka juu amekaa kigenye genye sana
"Kula uliwe"tatizo liko wapi!? Wakati uleule unamtumia na yeye ndio anakutumia, akitoka hana chake tena. Vuta mwingine.
Huyu dada Facebook anatumia majina tofauti kama Dayna Faby Kindole or Mwanaid Agripina na kuna account zaidi ya kumi zenye picha zake. .
I think she might be a musician, an actress or just someone famous. I am very interested just to know who she is nothing more, anyone who knows do tell. .
Nawaza tu: Unaweza jikuta mchawi bila kupenda, ukashangaa tu umekuwa mchawi unakula nyama za watu mchana wenzako wakikukaribisha "njoo tule nyama ya mbuzi", unasema "ohh mie silagi nyama za mbuzi zina kishombo" kumbe umeshiba nyama za watu. .
Ushauri tu: Kuliko kutafuta demu mzuriiii bora ujipatie KIBONGE, kwenye jokofu nyumbani unaweka mapocho pocho manyama majuisi na makachumbareeee yani huwazi anakusaliti wala nini. Sasa sana akikusaliti kala mapaja ya kuku yote uliowajaza kwenye jokofu. .
UPDATES:
Kwa upendo kabisa nimepata contact zake, anayetaka kuzungumza nae amcheki tu kwa hii link (nimemgoogle) Contact Kira – Kirachaana
Kuna mdau kanijibu kuwa anaitwa KIRACHAANA Huyu ni nani? Nawashukuru wadau walionijulisha nilitaka kumfahamu tu..
View attachment 1362175View attachment 1362176View attachment 1362177View attachment 1362178View attachment 1362179
Jamani, mumlani Shetani msijemkachaniana nguo hapa!!
Nakwambia tena wewe huo ni wivu, nyie ndo wale wale mnaosema sura hata mbuzi anayo. Laiti sura ya mbuzi ingekuwa inaonekana kwa dume linalopanda mbuzi jike juu kama sie binadamu kwenye misionary nakuhakikishia mjomba asingelia meeeeeeeeeeeeee, acha hizo bhana hahah
Wewe utakuwa una tako ila sura ya baba kwa kweli....
Unamuulizia dame wangu wa nini?Huyu dada Facebook anatumia majina tofauti kama Dayna Faby Kindole or Mwanaid Agripina na kuna account zaidi ya kumi zenye picha zake. .
I think she might be a musician, an actress or just someone famous. I am very interested just to know who she is nothing more, anyone who knows do tell. .
Nawaza tu: Unaweza jikuta mchawi bila kupenda, ukashangaa tu umekuwa mchawi unakula nyama za watu mchana wenzako wakikukaribisha "njoo tule nyama ya mbuzi", unasema "ohh mie silagi nyama za mbuzi zina kishombo" kumbe umeshiba nyama za watu. .
Ushauri tu: Kuliko kutafuta demu mzuriiii bora ujipatie KIBONGE, kwenye jokofu nyumbani unaweka mapocho pocho manyama majuisi na makachumbareeee yani huwazi anakusaliti wala nini. Sasa sana akikusaliti kala mapaja ya kuku yote uliowajaza kwenye jokofu. .
UPDATES:
Kwa upendo kabisa nimepata contact zake, anayetaka kuzungumza nae amcheki tu kwa hii link (nimemgoogle) Contact Kira – Kirachaana
Kuna mdau kanijibu kuwa anaitwa KIRACHAANA Huyu ni nani? Nawashukuru wadau walionijulisha nilitaka kumfahamu tu..
View attachment 1362175View attachment 1362176View attachment 1362177View attachment 1362178View attachment 1362179
so hafai kwa matumizi ya kibinadamu....?Chura ipo sema hana mzigo wa maviiiiiiiiiiiiii