Nani anamlipa Eddo Kumwembe kubwabwaja dhidi ya Simba Sc?

Nani anamlipa Eddo Kumwembe kubwabwaja dhidi ya Simba Sc?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
sportsarena_tz_1253fd79b1da42aa8b820f6414fa3b5a.jpg

sportsarena_tz_91d6e8242e9a4fbda9bd63e2d61722f0.jpg


Vitu vya kuchambua vipo vingi, kama umeshindwa kuchambua soka nenda kachambue mchele
 
Bila kuisemea simba vibaya hawapati pesa hao ... GSM anawalipa.
 
Ana hng'over huyo hapo anawaza kuzimua,pombe zikizidi sana akili pia inadumaa
 
Huyu ni mchambuzi alcoholic.Anahitaji kupelekwa AA kupata huduma za kutibu ugonjwa alionao.
Msimchukulie serious alisema hayo huku kalewa.
 
Back
Top Bottom