Nani anamlipa Eddo Kumwembe kubwabwaja dhidi ya Simba Sc?

Bila kuisemea simba vibaya hawapati pesa hao ... GSM anawalipa.
 
Ana hng'over huyo hapo anawaza kuzimua,pombe zikizidi sana akili pia inadumaa
 
Huyu ni mchambuzi alcoholic.Anahitaji kupelekwa AA kupata huduma za kutibu ugonjwa alionao.
Msimchukulie serious alisema hayo huku kalewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…