ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,012
Hii kauli yake ya juzi ya kusema atafutiwe msaidizi haraka ina maana gani?
wazee wa ten percent mshakubaliana awakatie kiasi cha hela kwenye mshahara wake kila mwezi?
alivyokuja si alisema begi lake hajafunga? mpeni team hata matola,amri saidi au julio,mnazengua tu na ma deals yenu ya ajabuajabu mnayopiga kwenye usajili na kuchukua cha juu kwenye mishahara kila mwezi
Eti atafutiwe msaidizi haraka,mshampa ukocha mkuu nini? kamzidi nini mayanja huyo zaidi ya kuwapanga kichuya na gyan kama mabeki?
wazee wa ten percent mshakubaliana awakatie kiasi cha hela kwenye mshahara wake kila mwezi?
alivyokuja si alisema begi lake hajafunga? mpeni team hata matola,amri saidi au julio,mnazengua tu na ma deals yenu ya ajabuajabu mnayopiga kwenye usajili na kuchukua cha juu kwenye mishahara kila mwezi
Eti atafutiwe msaidizi haraka,mshampa ukocha mkuu nini? kamzidi nini mayanja huyo zaidi ya kuwapanga kichuya na gyan kama mabeki?