Nani anampa hii jeuri huyu kocha mrundi wa simba?

Nani anampa hii jeuri huyu kocha mrundi wa simba?

Professionalism is all about professional autonomy. Namuona Matola anarudi Simbs
Matola is a good coach ila hawezi kuwa head coach maana hana lessen ya kuwa kocha mkuu wa ligi kuu..Hata kule Lipul ni kocha msaidia kocha mkuu ni Saidi aliyewahi kuwa kocha msaidi wa Simba kipindi cha Patrick Phili na makocha kadhaa waliokwisha pita Simba
 
Back
Top Bottom