Nani anamuelewa Pastor Tony Kapola?

Nani anamuelewa Pastor Tony Kapola?

Acha wivu tafuta hela. Wamissionari walitoka huko mpaka huku kutafuta kondoo

Yesu hakutulia mji mmoja alizunguka sana

Na aliagiza ya kwamba ENENDENI ULIMWENGUNI KOTE... sasa wewe unasoma biblia ukiwa umeyumia aina gani ya kikevi mpaka usielewe jambo dogo hilo?
Una elewa maana ya karama ya utumishi.

Kuna mwalimu,nabii,mtume,mchungaji.


Kama wito wake ni mchungaji ilibidi achunge kanisa la mahali pamoja .
 
Ndo shida ya waumini wa sasa.

Wana reasoning capacity ndogo sana
Jibu hili hapa ni kuwa kapola anatii agizo
Screenshot_20230703-225554.png
 
Ndo shida ya waumini wa sasa.

Wana reasoning capacity ndogo sana
Wala sina interest za kuingilia reasoning capacity zao sababu to each on its own lakini maswala ya imani yanahitaji utulivu na uvumilivu mkubwa kwenye kuhatabanaisha ukweli na uongo wa hoja zake. Ukileta hisia tu kidogo lazima upindishe ukweli.
 
Touch no
Mbona Mwakasege hatuhoji.

Ufanye ujinga au ovyo usiulizwe kisa kizazi cha nyoka.

Acha akili mgando
Ndio, kama unasoma biblia yako Yesu aliwaita watu kizazi cha nyoka, mbweha. Unajua kwa nini?
Kuna watu tunaishi nao duniani ila ni mbegu ya shetani hata uongee kipi kuhusu neno la Mungu wao hupinga. Na ndio maana unaona sasa hv kuna Lgbtqrst nk usifikiri hao wanaoeneza mambo ya ushoga ni watu wa kawaida wako under influence ya kuzimu.
 
By the way napenda nikuambie kitu kimoja , ni somo gumu sana ila ni jepesi sana.

Mungu ni nani? Anaitwa nani? Ni wangapi?
 
Nani anamfahamu vizuri pastor Tony kapola.

Kanisa lake liko wapi ?
Nilisikia liko morogoro kutwa yupo Dar,dodoma

Kwanini waumini wake na mke wanavaa nguo za ovyo ?

Inakuaje ameungana na hawa manabii wa uongo matapeli wa zimbabwe ?
Unafuata uchunguzi wa maisha ya watu au unafuata neno la Mungu? Aibu dume zima kujadili mavazi ya mke wa mtu. Mtu huvaa mumewe apendavyo.

Kuhusu kuwepo Dar na Dom mbona huulizi safari za Paulo, Bonke etc
 
Kama mwalimu kama mwakasege sawa.


Ila kama mchungaji inabidi uache kuzurura ukae uchunge kanisa lako.

Watu wake wa morogoro wanachungwa na nani?

Anafuata Hela tu kutwa Dad,dodoma si aende njombe ,iringa ,ruvuma
Una gubu wewe si bure. Hivi wajua KKKT ilianzia Germany na Roman Catholic Italy, yaulize mashetani yanayokupa kichaa bongo makanisa hayo yamefikaje?
 
How do you know if your pastor is authentic or not...?
And how do you differentiate the sermon from good public speakers with the one from God's servants..?
Ngoja nikuambie kitu. Biblia inaturuhusu kupima watumishi wa Mungu ili kujua wapo chini ya roho ipi. Upo sahihi katika test the spirits .
Pia inabidi kujua utatumia vigezo gani katika kupima ambavyo vyote vipo katika biblia.

1John 4
Dear friends, do not believe every spirit, but test the spirits to see whether they are from God, because many false prophets have gone out into the world. but every spirit that does not acknowledge Jesus is not from God.
 
Una gubu wewe si bure. Hivi wajua KKKT ilianzia Germany na Roman Catholic Italy, yaulize mashetani yanayokupa kichaa bongo makanisa hayo yamefikaje?
Una shida wewe m.... unanijibu kwa hoja ipi ?

Maana mchungaji lazima ukae utulie uchunge kanisa lako.
 
Ngoja nikuambie kitu. Biblia inaturuhusu kupima watumishi wa Mungu ili kujua wapo chini ya roho ipi. Upo sahihi katika test the spirits .
Pia inabidi kujua utatumia vigezo gani katika kupima ambavyo vyote vipo katika biblia.

1John 4
Dear friends, do not believe every spirit, but test the spirits to see whether they are from God, because many false prophets have gone out into the world. but every spirit that does not acknowledge Jesus is not from God.
Ahsante.

Umenifurahisha watu wa Mungu.

Kuhoji sio dhambi.

Biblia imeturuhusu kuzipambanisha roho.
 
Una gubu wewe si bure. Hivi wajua KKKT ilianzia Germany na Roman Catholic Italy, yaulize mashetani yanayokupa kichaa bongo makanisa hayo yamefikaje?
Mpenzi wangu, nimekulinganisha Na farasi katika magari ya Farao.
Mashavu yako ni mazuri kwa mashada, Shingo yako kwa mikufu ya vito.
1Tutakufanyizia mashada ya dhahabu, Yenye vifungo vya fedha.
 
A matter sio kusoma bible.

Hoja zangu nilizouliza sijajibiwa hata Moja
Sawa ngoja nikueleze kitu.
Wayahudi ama Mungu wa wayahudi ambao wao husema God is one.
Na ndio wanaomsubiri mpaka sasa hv.
Ila walimiss their time of visitation,

Why
Mungu waliyekuwa wanamuabudu,ambae aliumba ulimwengu,akawatoa Misri.
Akajishusha,akavaa mwili,akawaletea habari njema,nao wakaikataa. Huyo Mungu ndiye Yesu Kristo.

Ok ngoja niweke hivi, siku ya mwisho katika kiti cha enzi hutaona kiti hiki ni Yesu na kile ni cha Mungu, Big no.
Kiti cha enzi ni cha Yesu kristo
 
How do you know if your pastor is authentic or not...?
And how do you differentiate the sermon from good public speakers with the one from God's servants..?
Thats not my job. It took a long period for the disciples to understand jesus teachings. Vipi kuhusu kizazi hiki itakuwaje?
 
Back
Top Bottom