Second hand
Member
- Jan 20, 2013
- 72
- 6
What'up wanajamvi pande za wanazuoni! Straight to point ningependa mnijuze taasisi gani inawajibu wa kusajiri vyuo vidogo vidogo ambavyo vinatoa elimu kwa ngazi ya cheti mfano ya computer, biashara. Je; ni NACTE au VETA. Kuna utitiri mkubwa wa vyuo mitaani ambavyo havina ufanisi, SO; nitajuaje kama chuo kimesajiliwa na kinatambulika kwa sababu nina cheti cha computer applications sasa sijui waajiri watakikubali au la . Majibu wenu tafadhali yaniondolee mtandiko.
What'up wanajamvi pande za wanazuoni! Straight to point ningependa mnijuze taasisi gani inawajibu wa kusajiri vyuo vidogo vidogo ambavyo vinatoa elimu kwa ngazi ya cheti mfano ya computer, biashara. Je; ni NACTE au VETA. Kuna utitiri mkubwa wa vyuo mitaani ambavyo havina ufanisi, SO; nitajuaje kama chuo kimesajiliwa na kinatambulika kwa sababu nina cheti cha computer applications sasa sijui waajiri watakikubali au la . Majibu wenu tafadhali yaniondolee mtandiko.