denzo washington
Member
- May 7, 2013
- 23
- 7
Ni dhahir kuwa mtu anayedai kuwa mwanamuziki regendary wa bongo fleva judith wambura(lady jaydee) kafulia basi ni wazi kuwa atakuwa na matatizo ya ubongo.kwa kumbukumbu chache tu nilizonazo jide alianza muzik miaka ya 2000 na alianza na wasanii kibao lakini sas ivi wako wapi?
Kwa nini amliangalii hilo? Ebu jaribuni kuwa na huruma na huyu mwanamke,kuna wanamuzik wa kiume alioanza nao miak hyo lakin wameishia njian kutokan na changamot fulan lakin jide hakukata tamaa kapambana hadi leo hii ninavyoongea na wew,mnavyofany ni kumkatisha tamaa,jide nadhan ndie mwanamuzik aliyepat tunzo za kumwaga pengine kuliko msanii yeyote,kwa record ndog tu niliyonayo toka mwaka 2006 hadi 2011 jide amekuw akinyakua tunzo za mwanamuzik bora wa kike achilia mbali category nyingine..kapamban hyu dada hadi kaunda band yake mwenyew na mgahawa wake bado mnasema kafulia?
Wako wapi wakina ray c? Ebu nitajie list ya wasanii angalau wenye mafanikio apa bongo je jide atakosa?,jaribun kukubal mchango wa huy dada au mnatak afe muanze kutoa unafiki wenu?,jide ni commando hakuna wa kulibisha hilo,jaribuni kuwa wapole kwa hili.
Kwa nini amliangalii hilo? Ebu jaribuni kuwa na huruma na huyu mwanamke,kuna wanamuzik wa kiume alioanza nao miak hyo lakin wameishia njian kutokan na changamot fulan lakin jide hakukata tamaa kapambana hadi leo hii ninavyoongea na wew,mnavyofany ni kumkatisha tamaa,jide nadhan ndie mwanamuzik aliyepat tunzo za kumwaga pengine kuliko msanii yeyote,kwa record ndog tu niliyonayo toka mwaka 2006 hadi 2011 jide amekuw akinyakua tunzo za mwanamuzik bora wa kike achilia mbali category nyingine..kapamban hyu dada hadi kaunda band yake mwenyew na mgahawa wake bado mnasema kafulia?
Wako wapi wakina ray c? Ebu nitajie list ya wasanii angalau wenye mafanikio apa bongo je jide atakosa?,jaribun kukubal mchango wa huy dada au mnatak afe muanze kutoa unafiki wenu?,jide ni commando hakuna wa kulibisha hilo,jaribuni kuwa wapole kwa hili.