Nani anasema lady jaydee kafulia?


Hata mi nakuunga ni watu wasio na upembuz yakinif wa kutumia akil ndo wanaosema kuwa amefulia wako wap akina Jay,Afande Sele,O ten, GK........na wengine wengi! Na pia yeye ana mafanikio makubwa tu nje ya mziki,acheni hizo propaganda za akina Ruge kwa sabab wameshikwa pabaya.
 
uyo mpoto hata darasa moja ,hajasoma.. unategemea aongee kitu cha maana kwli!
 
kama Mpoto ni #binadamu wa kawaida akipata record ya alichokiongea dodoma na kujisikiliza kwa makini lazima atagundua the PUMBAside of his brain. alishangaza
 
kama Mpoto ni #binadamu wa kawaida akipata record ya alichokiongea dodoma na kujisikiliza kwa makini lazima atagundua the PUMBAside of his brain. alishangaza
 

Duh.....nadhani wewe ndio umefulia ndugu.....
 
kama ni kimuziki jide amefulia. na akuna anaelipinga ilo. kwa sasa ameshapokewa kijiti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…