Nani anastahili kuvaa viatu vya uwaziri mkuu na uspika COBESO Dodoma 2014~2015

Nani anastahili kuvaa viatu vya uwaziri mkuu na uspika COBESO Dodoma 2014~2015

Azim Sokoine

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2014
Posts
1,443
Reaction score
2,643
habar wakuu ni Jana tu chuo cha elimu ya biashara(CBE) campus ya Dodoma kilifanya uchaguz mkuu wa kumpata rais hatimaye ndug. Shughaib Abdi akashinda kinyang`anyiro hicho.sasa vita imehamia kwa uwazir mkuu na uspika,kama mwanacobeso unampendekez nani anayefaa kuwa wazir mkuu na uspika?
 
Sasa haya si muulizane wenyewe huko chuoni kwenu? Sisi inatuhusu nini?

Hizi shule za siku hizi ni shida tupu.
 
Mkuu mleta mada,mwanacobeso humu JF ni wewe pekee hivyo watu hawakuelewi ha ha ha(natania)

Kiukweli mada yako inagusa idadi finyu sana ya wanaJF,kwa hiyo tegemea majibu machache sana kutoka kwa wanaohusika na majibu mengine (mazuri tu!!?!!!) Kutoka kwa tusiohusika.Ungeipeleka notice board ungekuwa umefanya vema kweli
 
hii ni JF sio facebook kijana!hoja km hizi peleka huko fb kuliko kuja kutujazia server hapa
 
Hawa ndo wanaofanya CBE wanadharauliwa,afu si ndo ile ya Dar kiongozi wao alikomba pesa yote kwenye acc
 
Haya mambo mngeulizana huko kwenye groups za WhatsApp... Hivi watu wanafikiria mambo makubwa kuelekea Oct we unaleta habari zako za COBESO humu
 
Eti huyu nae ana ndoto za kuja kushindana kwenye soko la ajira la EAC!
 
Kama haikuhusu pita mkono wa kushoto
Ukitaka kujua ulivyo bweg.e, wasome hawa magreat thinkers hapa chini. Afu mwishowe utakuja kulialia wakati tunakufanyia interview. Watu kama wewe ndo mnakifanya CBE kionekane chuo cha vilaza

Hayatuhusu dogo

Mkuu mleta mada,mwanacobeso humu JF ni wewe pekee hivyo watu hawakuelewi ha ha ha(natania)

Kiukweli mada yako inagusa idadi finyu sana ya wanaJF,kwa hiyo tegemea majibu machache sana kutoka kwa wanaohusika na majibu mengine (mazuri tu!!?!!!) Kutoka kwa tusiohusika.Ungeipeleka notice board ungekuwa umefanya vema kweli

hii ni JF sio facebook kijana!hoja km hizi peleka huko fb kuliko kuja kutujazia server hapa

Hawa ndo wanaofanya CBE wanadharauliwa,afu si ndo ile ya Dar kiongozi wao alikomba pesa yote kwenye acc

Haya mambo mngeulizana huko kwenye groups za WhatsApp... Hivi watu wanafikiria mambo makubwa kuelekea Oct we unaleta habari zako za COBESO humu

unatumia hili jukwaa vibaya

Eti huyu nae ana ndoto za kuja kushindana kwenye soko la ajira la EAC!
 
Back
Top Bottom