Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
- Thread starter
-
- #61
Napenda sana lile jarida la TPDF.Wakati wa Nyerere inaonekana tulikuwa pia na intelijensia nzuri sana sisi Tanzania..
Do you think tunao watu sahihi kwenye idara zetu za ujasusu kwa kuangalia mambo yanavyoenda humu nchini na tunavyoshirikiana na nchi za jirani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Maarifa ya atakayetoa matusi ndio hayo matusi.....Tuzo ya kimataifa ya Nobel iliyoanzishwa na Bw Alfred Bernhard Nobel, Mswidi mbobezi wa kemia, uhandisi, mvumbuzi, mjasiriamali na mdiakonia (matendo ya huruma (philanthropist)) imetoa tuzo hiyo kwa Wanafizikia watatu kwa mpigo.
Swali:
Katika safu ya marais 6 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unadhani nani kati yao angeweza kustahili tuzo hiyo maarufu?
Kwa sababu zipi?
Kwanini imeshindikana?
Afrika Kusini wana Laureate 3, Liberia 2, DR Congo 1, Ethiopia 1, Kenya 1, Tanzania tumekwama wapi na juhudi zote nzuri za #AMANI YA NCHI, #ULINZI WA AMANI YA DUNIA, #UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA, #MIUNDOMBINU BORA, #MUUNGANO WA PEKEE DUNIANI, #OAU, #KUANZISHWA KWA NON ALIGNED MOVEMENT, #SOUTH SOUTH COMMISSION, #SADC, #EAC, na mengine mengi mazuri kimataifa. Ni Mwl. Nyerere ndiye aliingiza China kwenye kundi la mataifa yenye kura ya turufu katika Umoja wa Mataifa. Aidha alikuwa mmoja wa washauri wa Malkia wa Uingereza lakini hata tuzo ya heshima ya juu Uingereza ya "Sir" hakuwahi kuipewa. Naomba nikope maneno ya Paulo Mtume aliyeuliza hivi "Enyi Wagalatia mmerogwa na nani? Wagalatia.3:1"
Yote hayo na mengine mengi mazuri ya Tz bado Kamati ya Nobel haizioni tu?
Angalizo:
Changia mawazo yako kwa kutuonyesha hekima na busara zako ili tufaidike na maarifa yako, usichangie jazba za kuonyesha kejeli, dharau na matusi, utakuwa umetunyima maarifa yako.
Vipi Mhe. Abiy Ahmed anyang'anywe ile ya kwake? Kwasababu watu wa Tigray wanamtafsiri kama zaidi ya dikteta, (ni dikteta plus). Tufundishe zaidi mkuu.Nobel prize haitolewi kwa madikteta
Mawazo ya Nyerere uliyokwoti, hayamo hayamo katika zile category sita za nobel: yaani Chemistry, Physics, Medicine, Literaturre, Economic Sciences na Peace. Kwa dunia ya leo Nyerere anaweza kushinda kwenye Peace lakini hana sifa kwa vile ni mfu.Ila pia, sina hakika kama Tuzo hii ni ya nchi za Magharibi au ya jumuiya za kimataifa, Alfred B. Nobel ni Mswedish ambayo ni nchi iliyokuwa rafiki wa Tz wakati huo wa mawazo hayo ya Mwl Nyerere yaliyopingwa na Magharibi yalipokuwa yakitoka.
“Having come into contact with a civilization which has over-emphasized the freedom of the inpidual, we are in fact faced with one of the big problems of Africa in the modern world. Our problem is just this: how to get the benefits of European society – benefits that have been brought about by an organization based upon the inpidual — and yet retain African’s own structure of society in which the inpidual is a member of a kind of fellowship.”
Julius Kambarage Nyerere as quoted in the New York Times Magazine on 27 March 1960. -
Aa wapi!!Kikwete alikosa ya MO atapata ya NOBEL?? Magufuli angeendela kuishi hadi kumaliza kipindi chake, alikuwa na nafasi kubwa sana kwenye tuzo ya MO.
Nyerere alistahili lakini kwa sasa labda JK hakuna mwingine,Samia atakuwa na nafasi kubwa kupata tuzo ya Mo Ibrahim.Tuzo ya kimataifa ya Nobel iliyoanzishwa na Bw Alfred Bernhard Nobel, Mswidi mbobezi wa kemia, uhandisi, mvumbuzi, mjasiriamali na mdiakonia (matendo ya huruma (philanthropist)) imetoa tuzo hiyo kwa Wanafizikia watatu kwa mpigo.
Swali:
Katika safu ya marais 6 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unadhani nani kati yao angeweza kustahili tuzo hiyo maarufu?
Kwa sababu zipi?
Kwanini imeshindikana?
Afrika Kusini wana Laureate 3, Liberia 2, DR Congo 1, Ethiopia 1, Kenya 1, Tanzania tumekwama wapi na juhudi zote nzuri za #AMANI YA NCHI, #ULINZI WA AMANI YA DUNIA, #UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA, #MIUNDOMBINU BORA, #MUUNGANO WA PEKEE DUNIANI, #OAU, #KUANZISHWA KWA NON ALIGNED MOVEMENT, #SOUTH SOUTH COMMISSION, #SADC, #EAC, na mengine mengi mazuri kimataifa. Ni Mwl. Nyerere ndiye aliingiza China kwenye kundi la mataifa yenye kura ya turufu katika Umoja wa Mataifa. Aidha alikuwa mmoja wa washauri wa Malkia wa Uingereza lakini hata tuzo ya heshima ya juu Uingereza ya "Sir" hakuwahi kuipewa. Naomba nikope maneno ya Paulo Mtume aliyeuliza hivi "Enyi Wagalatia mmerogwa na nani? Wagalatia.3:1"
Yote hayo na mengine mengi mazuri ya Tz bado Kamati ya Nobel haizioni tu?
Angalizo:
Changia mawazo yako kwa kutuonyesha hekima na busara zako ili tufaidike na maarifa yako, usichangie jazba za kuonyesha kejeli, dharau na matusi, utakuwa umetunyima maarifa yako.
Magu yule yule au mwingine?Kikwete alikosa ya MO atapata ya NOBEL?? Magufuli angeendela kuishi hadi kumaliza kipindi chake, alikuwa na nafasi kubwa sana kwenye tuzo ya MO.
Tuzo ya Nobel kwa Tz anapaswa kupewa Julius Kambarage Nyerere kwa sababuTuzo ya kimataifa ya Nobel iliyoanzishwa na Bw Alfred Bernhard Nobel, Mswidi mbobezi wa kemia, uhandisi, mvumbuzi, mjasiriamali na mdiakonia (matendo ya huruma (philanthropist)) imetoa tuzo hiyo kwa Wanafizikia watatu kwa mpigo.
Swali:
Katika safu ya marais 6 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unadhani nani kati yao angeweza kustahili tuzo hiyo maarufu?
Kwa sababu zipi?
Kwanini imeshindikana?
Afrika Kusini wana Laureate 3, Liberia 2, DR Congo 1, Ethiopia 1, Kenya 1, Tanzania tumekwama wapi na juhudi zote nzuri za #AMANI YA NCHI, #ULINZI WA AMANI YA DUNIA, #UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA, #MIUNDOMBINU BORA, #MUUNGANO WA PEKEE DUNIANI, #OAU, #KUANZISHWA KWA NON ALIGNED MOVEMENT, #SOUTH SOUTH COMMISSION, #SADC, #EAC, na mengine mengi mazuri kimataifa. Ni Mwl. Nyerere ndiye aliingiza China kwenye kundi la mataifa yenye kura ya turufu katika Umoja wa Mataifa. Aidha alikuwa mmoja wa washauri wa Malkia wa Uingereza lakini hata tuzo ya heshima ya juu Uingereza ya "Sir" hakuwahi kuipewa. Naomba nikope maneno ya Paulo Mtume aliyeuliza hivi "Enyi Wagalatia mmerogwa na nani? Wagalatia.3:1"
Yote hayo na mengine mengi mazuri ya Tz bado Kamati ya Nobel haizioni tu?
Angalizo:
Changia mawazo yako kwa kutuonyesha hekima na busara zako ili tufaidike na maarifa yako, usichangie jazba za kuonyesha kejeli, dharau na matusi, utakuwa umetunyima maarifa yako.
Nadhani hakuna wakieleza kutupatia dira nyingine, kwanza kuna kufeli kwingi kwa dira hii kwa sababu karibu kila aliekuwa kwenye awamu alienda kivyake , na nadhani wanatamani hata hio 2025 isifike, na kwa vile hakuna wa kuwawajibisha kwa kuto kufikia malengo basi ndio hivyo itakua imetoka.Sawa, ni kweli kabisa kwa sababu baada ya Azimio la Arusha kuondoka hatukuwa na dira yoyote (so far nchi imekuwa na dira 3: Uhuru, Azimio la Arusha na hii ya Big Ben ya 2025), lakini Pendael24: baada ya 2025 taifa litahitaji dira nyingine isukwe, achilia zile za Jumuiya za Kimataifa. What if akija kiongozi ambaye atatupa dira kali zaidi ya hii ya Big Ben?
Toa uthibitisho ananyang'anywaVipi Mhe. Abiy Ahmed anyang'anywe ile ya kwake? Kwasababu watu wa Tigray wanamtafsiri kama zaidi ya dikteta, (ni dikteta plus). Tufundishe zaidi mkuu.
mh. benjamini willium mkapaTuzo ya kimataifa ya Nobel iliyoanzishwa na Bw Alfred Bernhard Nobel, Mswidi mbobezi wa kemia, uhandisi, mvumbuzi, mjasiriamali na mdiakonia (matendo ya huruma (philanthropist)) imetoa tuzo hiyo kwa Wanafizikia watatu kwa mpigo.
Swali:
Katika safu ya marais 6 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unadhani nani kati yao angeweza kustahili tuzo hiyo maarufu?
Kwa sababu zipi?
Kwanini imeshindikana?
Afrika Kusini wana Laureate 3, Liberia 2, DR Congo 1, Ethiopia 1, Kenya 1, Tanzania tumekwama wapi na juhudi zote nzuri za #AMANI YA NCHI, #ULINZI WA AMANI YA DUNIA, #UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA, #MIUNDOMBINU BORA, #MUUNGANO WA PEKEE DUNIANI, #OAU, #KUANZISHWA KWA NON ALIGNED MOVEMENT, #SOUTH SOUTH COMMISSION, #SADC, #EAC, na mengine mengi mazuri kimataifa. Ni Mwl. Nyerere ndiye aliingiza China kwenye kundi la mataifa yenye kura ya turufu katika Umoja wa Mataifa. Aidha alikuwa mmoja wa washauri wa Malkia wa Uingereza lakini hata tuzo ya heshima ya juu Uingereza ya "Sir" hakuwahi kuipewa. Naomba nikope maneno ya Paulo Mtume aliyeuliza hivi "Enyi Wagalatia mmerogwa na nani? Wagalatia.3:1"
Yote hayo na mengine mengi mazuri ya Tz bado Kamati ya Nobel haizioni tu?
Angalizo:
Changia mawazo yako kwa kutuonyesha hekima na busara zako ili tufaidike na maarifa yako, usichangie jazba za kuonyesha kejeli, dharau na matusi, utakuwa umetunyima maarifa yako.
Bwana Douglas tutarajie mapambio na hongera nyingi sana kutoka kwa politicians kwa hili hapa...kama yuko nje watajipanga airport kumpokea (unafik na ubinafsi) hata kama hawakumjua wala kusoma kazi zake kabla....I said we should not focus on a political arena katika Nobel Price....Umetufaa kwa viwango vilivyotukuka. Umepanua uelewa wetu, umeonyesha njia na namna ya kutanua mjadala. Ni kweli tuzo haijasitirika kwa wanasiasa pekee ila hao ndiyo wako kwenye global spotlight kwamba hadi sasa labda hatuna mwanasayansi aliyefanya ugunduzi wa kunyanyua nyusi za dunia.