Nani anastahili tuzo ya Nobel katika marais 6 tuliowahi kuwa nao Tanzania?

Baba wa Taifa tu wengine hawastahili tuzo ya aina yoyote ile.
 
Huyu si Mtanzania alishaukana miaka mingi na kuchukua uraia wa UK. Anaingia nchini kwa kutumia visa kama mgeni.

 
Huyu si Mtanzania alishaukana miaka mingi na kuchukua uraia wa UK. Anaingia nchini kwa kutumia visa kama mgeni.
Subiri utaona tu watakavyokurupuka. Huonagi hata wachezaji michezo or anybody that shines wenye uraia wa mbele walioikana bongo wanavyowasilolimisha Kwa lazima kuwa ni wakwetu wana asili yetu kwa ivo tuwapongeze tu.

NB uraia pacha is a thing

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Reactions: BAK
Wameshakurupuka Mkuu sijui Wizara ya utamaduni imeshamtumia hongera kama Mtanzania sasa Wabongo wanawaambia mpeni zawadi ya uDC kitu ambacho hawawezi kufanya maana inahusu kubadili katiba na katiba huwa hawataki kuigusa kwenye mambo wao HAWAFAIDIKI ila kama wanafaidika basi hawakawii kufanya mabadiliko.

 
Viongozi wa Tanzania wengi ni makima

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Siyo kwamba vita vya Kagera vilisababishwa na uvamizi wa Nduli na siyo urafiki wa Mwl na Obote:-

1) 1971 Nduli alishambulia mji wa Mwanza. Mwl akawa mvumilivu hakujibu, Nduli akaona kwamba Mwl hamuwezi, akatangaza kwamba baada ya Mwanza sasa anaingia hadi Dar es Salaam.
2) 1979 akavamia Kagera, akapiga, na kusogeza mpaka wa Uganda ndani ya Tz. Ungekuwa Mwl tuelimishe ungechukuwa hatua gani labda?

Taswira zote kwa hisani ya google.
 

nyerere alikua kiongozi wa ovyo mno, mawazo yake gani yanayokubalika? Ujamaa? au huu muungano unaoelekea kukata pumzi?
 
Mkapa (Big Ben)

Honours
Order
Country
Year
Order of the Golden Heart of Kenya (Chief)Kenya
2005​
Order of Mwalimu Julius Kambarage NyerereTanzania
2011​


Awards

2007: Jane Goodall Global Leadership Award


Honorary degrees

University
Country
Degree
Year
Sōka UniversityJapanHonorary degree
1998​
Morehouse CollegeUnited StatesHonorary degree
1999​
Open University of TanzaniaTanzaniaHonorary degree
2003​
National University of LesothoLesothoDoctor of Law
2005​
Kenyatta UniversityKenyaDoctor of Education
2005​
University of Dar es SalaamTanzaniaHonorary degree
2006​
Newcastle UniversityUnited KingdomDoctor of Civil Law
2007​
University of Cape CoastGhanaDoctor of Letters
2008​
Makerere UniversityUgandaDoctor of Law
2009​
Big Ben hakuchagua kuitwa kwa salutation ya Dr licha ya kuzipewa tuzo hizo takriban 5. Sijui ni kwanini?

Mwl JK Nyerere

Mwl hakuchagua kuitwa kwa salutation ya Dr licha kuipewa tuzo hiyo. Sijui ni kwanini?

Rejea zote mbili kwa hisani ya Wikipedia.
 
MWENYE NCHI YAKE MBONA ANAJULIKANA KIPENZI MZALENDO wa KWELI KAFA MASIKINI KWA AJILI YA WATU WAKE hakujilimbikizia Mali hakuna na Hisa wala Majumba ya kifahari
 
nyerere alikua kiongozi wa ovyo mno, mawazo yake gani yanayokubalika? Ujamaa? au huu muungano unaoelekea kukata pumzi?
Huenda hujui kuwa uhuru wa kusini mwa Afrika ulisababishwa na mawazo ya Nyerere. Peace prize haifuati mawazo ya itikidi bali impact kwa maisha ya watu wengi, na kikawaida hutolewa baada ya muda mrefu kuona impact ya mawazo hayo. Ni wachache miaka ya hivi karibuni walioipata baada ya kip[indi kifupi: Malala,Obama na Al-Gore lakini hutolewa si chini ya miaka kumi.

Unaweza kumchukia kuwa hakuwa kiongozi mzuri kwa mawazo yako, lakini kum,be alikuwa na impact kubwa katika kuleta amani kwa watu wengi kusini mwa afrika
 
Baada ya Amin kunyakua madaraka nchini Uganda mwaka 1971, kulikuwa kukitokea "frequent border incursions" kwenye mpaka wa Tanzania na Uganda zikifanywa na majeshi ya Obote yaliyokimbilia Tanzania mara tu baada ya Obote kupinduliwa na Amin, majeshi hayo ya Obote yalikuwa pale Tabora.

Hili lilikuwa likifanyika kwa siri sana na hata mwaka 1978 kabla ya vita pia hayo majeshi ya Obote yalifanya tena uvamizi nchini Uganda na kisha kukimbia na kurejea tena Tanzania. Kimsingi, Amin alikuwa sahihi kwani yeye alichokuwa anafanya ilikuwa ni kujaribu kukomesha uvamizi wa mara kwa mara ktk ardhi yake.

Huu ndio ukweli ambao umekuwa ukifichwa sana na tawala mbalimbali za Tanzania japo ndio chimbuko la vita vyenyewe
 
Afrika na hizi sera za figisufigisu, rushwa, ufisadi, Utawala mbofumbofu haiwezi kutoa mshindi halali wa tuzo ya Nobel, hata kidogo! Angalia walikurupuka kumpa Waziri mkuu wa Ethiopia Ahmed Abiy tuzo ya Nobel angalia Hana hata miaka 5 madarakani huyo anaendesha mauaji ya kumbari Kule Tigray, kaskazini mwa Ethiopia, anajua raia wake mwenyewe kama Mwendakuzimu!
Afrika akili na hulka zetu ni kama ngozi ya Tako tu![emoji2][emoji2956]
 
Anastahili Hangaya na sababu zake itakua:- "tuzo zote barani Africa wamekua wanapewa wanaume tu, wanawake wameonewa ni zamu ya wanawake yeye ni mwanamke, anachangiwa mbegu tu kila kitu anafanya mwenyewe haki sawa 50/50 ni wanawake wanastahili tuzo"

Yani haijalishi kama hawana uwezo wao wanadai nafasi kwa kigezo cha jinsia.

Ila sema mama ni feminist hatari.

 
mshindi wa tuzo ya amani ni mchungaji Desmond Tutu, tulimfurahia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…