Sasa Mkuu chrispin umemstukia nani huyo IP au nani? Si umeona hapo post yake ndo ya kwanza baada ya kuambiwa na mumewe asome maoni ya wadau ndo akamua kujiunga atoe na yeye upande wa shilingi? au hujamuelewa?Aaa wapi, unatuchezea akili weye. Hiyo si ndio post ya kwanza ya IP? Hahahaha1 Timekustukia.
Binamu kwa shortcuts sikuwezi!Hapo wa kubadilika ni mama. Lazima aende na wakati bana. Kama hawezi swahiba tafuta anayeendana na hali halisi ujivinjari naye. Asikuletee za kuleta.
Mhh Nyamayao! Hapa umeniangusha, nini hujaelewa. Mimi nakukubali sana kwenye hizi mada. Mkuu hapa yuko wazi kabisa kwamba Mamsapu wake hataki mambo ya kisasa yaani mabadiliko. Na yeye yuko kwenye next level. So anachouliza ni kwamba yeye abadilike aendane na Mamsapu au ni Mamsapu abadilike awe wa kisasa. Nadhani hiyo ndo dhana kuu.
Sasa Mkuu chrispin umemstukia nani huyo IP au nani? Si umeona hapo post yake ndo ya kwanza baada ya kuambiwa na mumewe asome maoni ya wadau ndo akamua kujiunga atoe na yeye upande wa shilingi? au hujamuelewa?
Kuna ukweli katika hilo dada!!
Wangu alikosa kitchen party,na tuko miaka mitatu ya ndoa,naona kuna mambo hataki kubadilika na namuacha nyuma kidogo....
Mfano...tunachangia harusi,tunapewa kadi,siku ya kwenda anatia mgomo....inabidi niende mwenyewe....hapo???
Na vya kwenda kupata ka-tusker pale grocery ya karibu hiyo company ndo hawezi kunipa kabisa....
Swala la mawazi,nalo nina shaka,maana kuna mavazi ya kisasa namnunulia tena kwa bei ghali,lakini anayatosa kiaina
Bado naendelea kumbadilisha laikini.....nahisi tunakoelekea sio kuzuri sana..
Natamani apate kitchen party hata za watu wengine tuu..
hahhahahahhahahaaaaaa tena hujawahi ona , labda tofauti yao ni kwamba wambea wa classic saloon wanapiga umbea wa 'Bossip' but celebrities wa kibongo, miss nani kafanya nini, marketing manager wa kampuni flani anatoka na demu flani, beyonce inasemekana anamcheat 'camel' na jamaa gani.Mbona katika thread sijaona jamaa akisema mke wake anajihusisha na magroup ya umbea? au hizi pre judgement zako unaziweka vp? Mbona nyie mnao jiita classic ndo mnaongea sana umbea huko kwenye masalooni yenu ya classic? au umbea wenu tofauti?
Kwani umeshindwa hata kutafuta spare tyre mkuu mbona shazi sana.
Mkuu umeamua kuhamia tukuyu kiujumla?
Hahahaha Tukuyu nilisha chapa mwendo mbona muda naonja radha tofauti tofauti nitakuja na majumuisho mkuu then nahamia kanda ya ziwa nako.
Lol! Mkuu utapata ladha za pande zote. Ulinibania, hukunipa contacts za looser flani.
Hahahaha yule aliwahi mpwao Yo Yo nikaamua kubana.
Nimepitia maisha ya aina mbalimbali nchi mbalimbali magharibi na mashariki. Mwisho nimefika mahali ambapo ninaheshimika. Nimejaribu pia mke wangu abadili mtazamo wake kwa maisha ya leo. Bahati mbaya hataki kubadili mtazamo wako.
tatizo, alipoondoka kwenda US alikaa huko miaka 3 aliporudi ndo akaanza 1) mimi mnene nipungue 2) Nitembee kama so and so. 3) Nipende show fulani fulani TV, zote
Leo ninapenda mke wangu awe classic kama akina Michelle. Natamani awe na confidence katika kila anachokifanya. Akitembea asijihisi na kutembea kama mama wa kijijini! Akiongea asiwe anajishuku shuku. Akiwa na rafiki zetu asiwe na mkao wa mwambao! mnanielewa.
Mimi ndimi mke anayelalamikiwa,
Nimelazimika kutoa maoni yangu kwa PI, baada ya kuniambia kusoma comments za watu kuhusu maisha yetu.
Kwanza kuna mengi ambayo hakusema hapa lakini ametoa kipande tu cha maongezi ya juzi siku mbili na si tano kama anavyosema.
........ Kama swala ni la elimu. Alinioa nikiwa na elimu ya kidato cha sita kipindi kile tena PCB! Yeye alikuwa na degree moja. tatizo, alipoondoka kwenda US alikaa huko miaka 3 aliporudi ndo akaanza 1) mimi mnene nipungue 2) Nitembee kama so and so. 3) Nipende show fulani fulani TV, zote nimejaribu kwa kuendana na anayotaka lakini hayo hasemi. Tatizo ni hili la kubadili mwendo, nasema hapo no way.
Elimu nimejiendeleza nina diploma nzuri tu na kazi ninayo ya kuweza kubadili mwelekeo wowote. Lugha ipo kisawasawa anachotaka aseme ni mabadiliko gani siyo kula pweza hapa.
Yeye sasa ni mtu mzima asitake namimi niwe na PhD ndo aone nimebadilika. Yeye ni mhadhiri na PhD ni lazima kwake mie kazi yangu haiitaji PhD. Mabadiliko hayo yana malengo mengine na siyo kama anavyo sema. Yeye analazimika kuandaa publications ili kazi isimame anataka na mie niandike papers! NO WAY.
Mume wangu nakupenda tu hivyo ulivyo. Nitakusaidia ubadilike.
Note: I was not an idler that's why I am not a begger!
IP
eeeeh pole sana ndugu yangu mie nashindwa kuelewa kwa nini akina mama tunakuwa hivi jamani ...? nashindwa nitoe ushauri gani hapa
Hiyo nyekundu nimeipenda sana. Nitafute nikusaidie mkuu.
Ukweli ni kwamba, hamna cha mke aliyeandika hapa. Aliyeandika hii ni huyohuyo aliyeandika ile, anataka kutupima akili zetu. Stuka kimey.