Kuna ukweli katika hilo dada!!
Wangu alikosa kitchen party,na tuko miaka mitatu ya ndoa,naona kuna mambo hataki kubadilika na namuacha nyuma kidogo....
Mfano...tunachangia harusi,tunapewa kadi,siku ya kwenda anatia mgomo....inabidi niende mwenyewe....hapo???
Na vya kwenda kupata ka-tusker pale grocery ya karibu hiyo company ndo hawezi kunipa kabisa....
Swala la mawazi,nalo nina shaka,maana kuna mavazi ya kisasa namnunulia tena kwa bei ghali,lakini anayatosa kiaina
Bado naendelea kumbadilisha laikini.....nahisi tunakoelekea sio kuzuri sana..
Natamani apate kitchen party hata za watu wengine tuu..