Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hellow,
Hivi karibuni kumezuka mzozo mkubwa sana katika familia, chanzo kaka yetu anataka kuoa lakini mahari anasema mzazi wetu ndio atoe, kisa huyo mchumba wake amemuambia kuwa mahari yako kisheria anatakiwa atoe mzazi wako na sio wewe.
Na yeye bila kujiongeza kashupalia kweli kuwa yeye asitoe mahari yaani tumtolee sisi hii imekaaje kwani mzazi ndio anaenda kukaa na huyo mke? Naomba kujua ukweli wa hili jambo limekaaje
Mimi nipo upande wa yeye kuitafuta hela alipe hiyo mahari na sio kumtegemea mzazi tena au sisi
Hivi karibuni kumezuka mzozo mkubwa sana katika familia, chanzo kaka yetu anataka kuoa lakini mahari anasema mzazi wetu ndio atoe, kisa huyo mchumba wake amemuambia kuwa mahari yako kisheria anatakiwa atoe mzazi wako na sio wewe.
Na yeye bila kujiongeza kashupalia kweli kuwa yeye asitoe mahari yaani tumtolee sisi hii imekaaje kwani mzazi ndio anaenda kukaa na huyo mke? Naomba kujua ukweli wa hili jambo limekaaje
Mimi nipo upande wa yeye kuitafuta hela alipe hiyo mahari na sio kumtegemea mzazi tena au sisi