State University ya wapi, na huyo Profesa Kihore ni nani. Hata hivyo angalia tena makaratasi uliyosaini wakati unaingia hao State University. Vyuo vingine vina utaratibu wa kuchukua video wakati waalimu wanafundisha ilivideo hizo zitumike katika kutuoa mafunzoa kwa waalimu kuboresha mbinu zao za kufundisha.
Pamoja na kwamba namheshimu sana Prof. Kihore, nina mashaka sana na wazungu maana wenzetu hao mra nyingi hawana jema utashangaa mzungu anarudi kwao na hizo picha zinatumika kukusanya michango kuisaidia UDSM alaisifike kama ilivyokua inafanyika huko Dafur, Sudan. Hivyo basi siku nyingine ukiona jambo kama hilo ukiwa kama mzalendo halisi mfuate aliyekuja naye umwambie kwa utaratibu tu kuwa anahitaji ridhaa yenu kwanza na pili kama huyo bwana yuko mwenyewe haraka piga simu au ukaripoti kwa auxiliary police maana hiyo hairuhusiwi bila kibali kutoka utawala.
Kupiga picha Africa ni Kitu cha ajabu sana, kwanini we unaogopa kupigwa picha. unatatizo gani, America au Ulaya watu wanapiga picha popote
mwaka wa 2.
Pamoja na kwamba namheshimu sana Prof. Kihore, nina mashaka sana na wazungu maana wenzetu hao mra nyingi hawana jema utashangaa mzungu anarudi kwao na hizo picha zinatumika kukusanya michango kuisaidia UDSM alaisifike kama ilivyokua inafanyika huko Dafur, Sudan. Hivyo basi siku nyingine ukiona jambo kama hilo ukiwa kama mzalendo halisi mfuate aliyekuja naye umwambie kwa utaratibu tu kuwa anahitaji ridhaa yenu kwanza na pili kama huyo bwana yuko mwenyewe haraka piga simu au ukaripoti kwa auxiliary police maana hiyo hairuhusiwi bila kibali kutoka utawala.