Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,319
Naona huu utaratibu umekuwa sugu hapa State University, leo Prof. Kihore anafanya muhadhara hapa Yombo 5, amekuja na mzungu wake, anafanya video shooting. Napata mkanganyiko kidogo, Profesa hajaomba ridhaa yetu ili apige picha., na mchakato unaendelea pasi na wasi.
Naombeni mwongozo wenu wadau...
Naombeni mwongozo wenu wadau...