Nani Anawadharau WCB?

Fiesta ilikuwa inaitwa summer jam kipindi hiko muziki wa kizazi kipya"uhuni"..unafananisha VP 2018
 
Acha kuhamaki kw
Acha kuhamaki kwa kutetea upuuzi wenu ,acheni kabisa kuwadanganya watanzania wenzetu ambao upeo wao ni mdogo na mnawadanganya walipe kiingilio kuja kuona wanaume wanakata viuono na waliovaa hereni.
Kwa hiyo ww tatizo lako nini (nina wasiwasi na level yako ya elimu kwani hueleweki), 1.wafanye tamasha kama harambee au 2.wafanye lakini wasikate viuno wala kuvaa hereni.
Nani anadanganywa wakati show ni 18 above, usitake kuwaamulia watu waishi kama utakavyo, kwani kukata viuno si kitu cha ajabu wangoni na wazaramo katika ngoma zao za asili kuanzia mababu na mababu wanakata kiuno na asilimia kubwa ya ngoma za asili za Kiafrica wanakata viuno sasa cha ajabu nn . Una mawazo ya kipuuzi na ya kimasikini yaani hujui
unachokisimamia,unapayuka hueleweki kama sigara kali .
 
Mhhhh mbona wachezaji nyota wa soka/NBA duniani wanatoboa masikio na kuvaa hereni, so unatushauri tusiangalie soka kwenye TV kuwakwepa, na hata timu ya soka ya Brazil ikija Taifa tusiende kisa wachezaji wake wanatoboa masikio....😎😎😎😎
 
Diamond ndie alie anzisha matangazo ya mziki kwa njia ya video zile za kama movie kitu ambacho clouds wameiga lakini wameshindwa! haya ndio mapinduzi ya sanaa tunayo yataka kuyaona

Nimekudharau!
 
Hivi huu upuuzi wa matamasha kwa nini badala ya matamasha ifnyike harambee kwa ajili ya kuchangie elimu na afya?.inasikitisha serikali bado inavumilia huu upuuzi wa matamasha.
We unaongea upuuzi gani. Wale muziki ndiyo ajira yao sasa hizo kampeni au harambee kwanini zisifanye wizara zinazohusika.
 
Zamani tulikuwa tunatmia mikanda kwenye kamera,sasa ni digital, tulikuwa na tv za kichogo sasa ni flat screen tena smart tv.
Tulikuwa na Fiesta sasa WASAFI FESTIVAL

OVΓ€
 
Success inakuja kwa potential na diamond analijua hili ndiyo maana kila kunapokucha anaongeza ubunifu
 
Hivi huwa ni sanaaaa au saaaana?

Anyway Wcb wamekuja kutakeover!
 
Pole Pole mkuu,,jibu swali ,mwanao wa kiume siku akikuuliza baba nataka kutoga masikio na niwe nacheza kwa kukata kiuono kama nilivyoona kwenye tamasha la muziki utajisikiaje ?sidhani kama utamwambia kuwa mwanangu nitakuruhusu ujifunze kucheza kwa kukata kiuno kwa maana hata wangoni wanafanya hivyo pia?
 
Ajira y
We unaongea upuuzi gani. Wale muziki ndiyo ajira yao sasa hizo kampeni au harambee kwanini zisifanye wizara zinazohusika.
Ajira ya kuvaa hereni kwa wanaume na kukata viuno ?hii ni ajira ya aina gani mkuu?
 
Wewe unavaa hereni Mkuu?
 
Asipo kuelewa apa mkuu icho kichwa ageuze kuwa yai labda itakua nafuu.
 
Mimi mmasai wa Longido kwa hiyo ni kawaida, akitaka kukatika mwache akatike kwani wazaramo na wangoni vizazi na vizazi wanakatika . Alafu mtu mwenyewe mweupe huwajui hata wangoni (wangoni wanaume kwa wanawake wote wanakatika) , ndio maana na kwambia kila mtu na imani, mila na desturi zake usimpangie nini cha kufanya.
 
Kwa Kwa hiyo sio vibaya kusema kuwa haya matamasha ni kwa ajili ya kukata mauno?
 
Kwa
Kwa hiyo sio vibaya kusema kuwa haya matamasha ni kwa ajili ya kukata mauno?
Ndio kwani kwani kosa lipo wapi,kwani kukata viuno ni kosa ? kwa mujibu wa sheria ipi? kama hujui hata mzee wa Msoga alimcheza mwanae na kalimwaga uno pamoja na exposure yake kubwa ya kuzunguka ktk inchi tofauti,acha kuwa mtumwa wa fikra.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…