Endelea kukata mauno mkuu ni ajira kubwa sanaNdio kwani kwani kosa lipo wapi,kwani kukata viuno ni kosa ? kwa mujibu wa sheria ipi? kama hujui hata mzee wa Msoga alimcheza mwanae na kalimwaga uno pamoja na exposure yake kubwa ya kuzunguka ktk inchi tofauti,acha kuwa mtumwa wa fikra.