mchuku wa mangi
Member
- Jun 25, 2022
- 12
- 8
APRI 29 mwaka 2019 tukio kubwa na aina yake lilitokea mjini moshi baada yakundi kubwa la watu wakiwa na silaha za moto kuvamia na kupora mali kwenye mgahawa maarufu wa Meku’s Bristol Bar and Restaurant .
Wavamizi hawa ambao walikuwa na kila aina ua jeuri baada ya uvamizi huo waliondoka na mali za malioni ya fedha za kwenda kuificha kusikojulikana na hakuna hatua yoyote ilioyochukuliwa dhidi yao na mamlaka za serikali.
Peter Kaale aliyekuwa akiendesha mgahawa huo pamoja na kituo cha mafuta cha Oryx alijikuta akiwa mkiwa asiwe na usaidizi wowote na hivyo kumwachia mungu ashughulike na wabaya wake.
Kaale ambaye ni kijana mwenye taaluma ya uhandisi wa ndege na aliyeishi nchini Marekani kwa miaka mingi,aliamua kurudi nyumbani kufnaya uwekezaji wa migahawa akiamini anachokifanya ni kwa manufaa yaker na taifa kwa ujumla lakini haikuwa hivyo.
Kijana huyo amehangaika kwa muda mrefu akipigania haki yake na juhudi hizo zikazaa matunda hivo karibu na kuziamsha mamlaka za uchuguzi kuingia kazini na kuanza kuwasaka waharifu hao.
Taarifa kutoka ndani ya jeshi la polisi zinadai kuwa tayari watu kadhaa wamekamatwa wakihusishwa na tukio hilo akiwamo mfnayabiashara August matemu maarufu wa jina la Makele mkazi wa Soweto mjini moshi.
Habari zinadai kuwa polisi baada ya kumtia nguvuni Makele na kufanya upekuzi nyumbani wake wamefanikiwa kukamata mali za malimioni ya shilingi zinazodaiwa kuporwa kwenye tukio hilo ambako baadhi ya mali hizo amekuwa akizitumia kama mali yake halali.
Taarifa za kukamatwa makelele na watu wengine kutoka kampuni ya Oryx zinadhibitishwa na kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro (ACP),Simon Marwa Maigwa alipozungumza na wanahabari hivi karibuni mjini moshi.
Kamanda Maigwa akasema wavamizi hao hawakuwa nas uhalali wowote kisheria kufanya walichokidanya akimaanisha hawakuwa na nyaraka halali za kimahakama kuhalalisha uvamizi huo.
Uvamizi huo pamoja na uporaji ulifanywa isivyo halali kwa mujibu wa kamanda Maigwa na chimbuko lake ni mgogoro wa kibiashara kati ya Kampuni ya Oryx na Kampuni ya Community Petroleum ya Kaale iliyokuwa ikiendesha mgahawa huo pamoja na kituo hicho cha mafuta.
Ikumbukwe kuwa aliyekuwa mkuu wa mkoa huo ambaye kwa sasa ni marehemu ,Anna Mghwira wakati wa uhai wake aliwahi kutamka wazi kuwa uvamizi huo haukuwa halali kutokana na kutokuwepo nyaraka kutoka mahakamani za kuingia kwenye eneo hilo na kufnaya uharibifu huo.
Kwa upande wake Kaale ameweka wazi kuwa uvaqmizi huo ni uharifu kama ulivyo uharifu mwingine na anavitaka vyombo vya uchunguzi kufanya kazi yake kwa weledi ili waharifu hao waweze kufikishwa kwenye vyombo vya sheria na sheria ichukue mkondo wake.
Akasema kuwa wavamizi hao walidai kutoka makampuni ya ulinzi ya a Essama Security na kampuni moja ya udalali ya MEM ambako walipewa nguvu na mmoja wa wakurugenzi wa Kampuni ya Oryx Sophonie Babo huku wkaiwa na silaha za moto ambako waliwaamulu wafanyakzi wake kuondoka eneo hilo mara moja na pasipo kubeba kitu chochote.
Pamoja na uvamizi huo kutokuwa na Baraka za mahakama yapata miaka mitatu sasa vyombo vya uchunguzi vilikaa kimya kana kwamba hakuna jambo la kutisha hii ina maana walifumbia macho tukio hilo lililokuwa na kila aina ya uharifu uanoangukia kwenye jinai.
Kazi kwenu vyombo vya uchunguzi
Wavamizi hawa ambao walikuwa na kila aina ua jeuri baada ya uvamizi huo waliondoka na mali za malioni ya fedha za kwenda kuificha kusikojulikana na hakuna hatua yoyote ilioyochukuliwa dhidi yao na mamlaka za serikali.
Peter Kaale aliyekuwa akiendesha mgahawa huo pamoja na kituo cha mafuta cha Oryx alijikuta akiwa mkiwa asiwe na usaidizi wowote na hivyo kumwachia mungu ashughulike na wabaya wake.
Kaale ambaye ni kijana mwenye taaluma ya uhandisi wa ndege na aliyeishi nchini Marekani kwa miaka mingi,aliamua kurudi nyumbani kufnaya uwekezaji wa migahawa akiamini anachokifanya ni kwa manufaa yaker na taifa kwa ujumla lakini haikuwa hivyo.
Kijana huyo amehangaika kwa muda mrefu akipigania haki yake na juhudi hizo zikazaa matunda hivo karibu na kuziamsha mamlaka za uchuguzi kuingia kazini na kuanza kuwasaka waharifu hao.
Taarifa kutoka ndani ya jeshi la polisi zinadai kuwa tayari watu kadhaa wamekamatwa wakihusishwa na tukio hilo akiwamo mfnayabiashara August matemu maarufu wa jina la Makele mkazi wa Soweto mjini moshi.
Habari zinadai kuwa polisi baada ya kumtia nguvuni Makele na kufanya upekuzi nyumbani wake wamefanikiwa kukamata mali za malimioni ya shilingi zinazodaiwa kuporwa kwenye tukio hilo ambako baadhi ya mali hizo amekuwa akizitumia kama mali yake halali.
Taarifa za kukamatwa makelele na watu wengine kutoka kampuni ya Oryx zinadhibitishwa na kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro (ACP),Simon Marwa Maigwa alipozungumza na wanahabari hivi karibuni mjini moshi.
Kamanda Maigwa akasema wavamizi hao hawakuwa nas uhalali wowote kisheria kufanya walichokidanya akimaanisha hawakuwa na nyaraka halali za kimahakama kuhalalisha uvamizi huo.
Uvamizi huo pamoja na uporaji ulifanywa isivyo halali kwa mujibu wa kamanda Maigwa na chimbuko lake ni mgogoro wa kibiashara kati ya Kampuni ya Oryx na Kampuni ya Community Petroleum ya Kaale iliyokuwa ikiendesha mgahawa huo pamoja na kituo hicho cha mafuta.
Ikumbukwe kuwa aliyekuwa mkuu wa mkoa huo ambaye kwa sasa ni marehemu ,Anna Mghwira wakati wa uhai wake aliwahi kutamka wazi kuwa uvamizi huo haukuwa halali kutokana na kutokuwepo nyaraka kutoka mahakamani za kuingia kwenye eneo hilo na kufnaya uharibifu huo.
Kwa upande wake Kaale ameweka wazi kuwa uvaqmizi huo ni uharifu kama ulivyo uharifu mwingine na anavitaka vyombo vya uchunguzi kufanya kazi yake kwa weledi ili waharifu hao waweze kufikishwa kwenye vyombo vya sheria na sheria ichukue mkondo wake.
Akasema kuwa wavamizi hao walidai kutoka makampuni ya ulinzi ya a Essama Security na kampuni moja ya udalali ya MEM ambako walipewa nguvu na mmoja wa wakurugenzi wa Kampuni ya Oryx Sophonie Babo huku wkaiwa na silaha za moto ambako waliwaamulu wafanyakzi wake kuondoka eneo hilo mara moja na pasipo kubeba kitu chochote.
Pamoja na uvamizi huo kutokuwa na Baraka za mahakama yapata miaka mitatu sasa vyombo vya uchunguzi vilikaa kimya kana kwamba hakuna jambo la kutisha hii ina maana walifumbia macho tukio hilo lililokuwa na kila aina ya uharifu uanoangukia kwenye jinai.
Kazi kwenu vyombo vya uchunguzi