Nani anaweza nisaidia jinsi ya kuverify location skrill

Uliadd kivipi sasa?Ulitumia pc?
unaweza tumia any editin softaware kama photoshop au illustrator any software iayoweza manipulate pdf au picha mimi nilitumia photoshop
 
unaweza tumia any editin softaware kama photoshop au illustrator any software iayoweza manipulate pdf au picha mimi nilitumia photoshop
Shukrani mkuu!Sasa mhuri na signature ya bank si zitakuwa kama zimetolewa photocopy?
 
unaweza tumia any editin softaware kama photoshop au illustrator any software iayoweza manipulate pdf au picha mimi nilitumia photoshop
Sasa mkuu mhuri na signature ya bank si zitakuwa kama zimetolewa photocopy?
 
Mkuu Skrill huwa wanakataa kutuma pesa kwa card za Mastercard sijui shida ni nini
 
Mbona mimi siwezi pokea pesa kwa paypal
 
mbona nimekujibu hapo juu kuwa nilitumia photoshop
Bro sorry iv ninaweza kumtumia mtu alie UK akanifanyia verification account yangu na nikawa na uwezo wa kudraw pesa hapa TZ bila shida make naona huku inanichomoa kidg.
 
Bro sorry iv ninaweza kumtumia mtu alie UK akanifanyia verification account yangu na nikawa na uwezo wa kudraw pesa hapa TZ bila shida make naona huku inanichomoa kidg.
Skrill au? Na udraw kwa njia gani
 
Mkuu Skrill huwa wanakataa kutuma pesa kwa card za Mastercard sijui shida ni nini
Sijaelewa swali lako! Ni matumaini yangu unafahamu Skrill hawatoi Card kwa accounts zilizofunguliwa Tz. Hivyo basi, kama Skrill Account yako ina pesa, pesa hiyo huwezi kuitoa kwa kadi kwa sababu kuitoa kwa kadi ni lazima uwe na kadi yao. Kama pesa n ya kutosha, kuipata hiyo ni lazima uitume kwenye bank account lakini kama pesa yenyewe ni ndogo, basi fikiria jinsi nyingine ya kuitumia kama kufanya online purchase au subiri iongezeke kwa sababu gharama za kuituma kwenda akaunti ya benki ni pasua kichwa.

Kama mishe unazopiga wanakubali Payoneer, na bado huna Payoneer Account, basi kuondokana na usumbufu kwa siku za usoni, we fungua tu Payoneer Account ambayo una uhakika wa kupata MasterCard utakayotumia kutolea pesa kwenye hizi hizi ATM Machines za kawaida.
 
Mkui mimi nime kwama hapaa sijuii ni jazee nini hebu nisaidee

 
Mkuu Skrill huwa wanakataa kutuma pesa kwa card za Mastercard sijui shida ni nini
Yah unaweza kuituma kwenye Visa card tu ila kuna banks kibao wanatoa kadi za visa kuna kipindi crdb ulikuwa unachagua kadi unayotaka baina ya hizi mbili kama wataka master card au visa
 
Yah unaweza kuituma kwenye Visa card tu ila kuna banks kibao wanatoa kadi za visa kuna kipindi crdb ulikuwa unachagua kadi unayotaka baina ya hizi mbili kama wataka master card au visa
CRDB mpaka sasa unachagua mi kuna kipindi niliwahi kuwa na mastercard ya crdb ilikuwa ni hovyo balaa ilikuwa inakataa kutoa hela kwe atm baadae nikaja hamia visa iko poa mpaka kesho,nadhan mastercard wana shida kidogo
 
Mim nimeverify kwa affidavit vizur tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…