Ni mfumo ushatengeneza kama ilivyo ukuaji wa mtu kuanzia amezaliwa anapevuka anazeeka anakufa.Jamani ikishatungwa mimba ya bin Adam au mnyama,nani huamrisha :-
1)sasa vidole ,ubongo mifupa utumbo,macho masikio nk nk.....
Vianze kujipanga?
1) ni "operating system" gani hutumika?hasswa kupachika hizo applications kama vile ubongo ,macho,masikio,miguu nk...
Nawasilisha!
Sawa kabisa Mkuu! umeeleza vizuri.Ni mfumo ushatengeneza kama ilivyo ukuaji wa mtu kuanzia amezaliwa anapevuka anazeeka anakufa.
Memory fed within our genes.
Yani sawa na mfumo wa uzalishaji wa gari zinazotumia umeme za Tesla. Robots zishakuwa programmed kuwa baada ya hiki kinafuata hiki then hiki and thats how ot works...
Genes information ndio nani?Sawa kabisa Mkuu! umeeleza vizuri.
Genes....information zilizopo kwenye genes alizochangiwa na wazazi wake....Pamoja na gene operating system[Activation & Deactivation] ndio vinavyofanya hayo yote yatokee.
Are you asking who?,Genes information ndio nani?
My question was who?
The "genes information " is already a running application " but who is the vendor of these application.
From almost a single cell developing to the full creature!
Not exactly getting inside and start to build the creature like a Fundi mashi? No ! To the best capacity of my brain I think there is a blue tooth like mechanism !You are asking who?,
Do you really think there must be someone who gets inside the womb to effects the process?
Mungu=Ujinga Wetu Kuhusu Nini Kilichonyuma ya Mazingira Yetu!hilo swali halina majibu hapa duniani bali Mungu pekee anajua siri hiyo
Unapozungumzia programmed robots ,INA maanisha bin Adam ndio programmer, sasa hii mechanism ya kilichotumboni ya cells kuwa "specialized" ,cells hizi za miguu,za macho za pua,nk...Sawa kabisa Mkuu! umeeleza vizuri.
Genes....information zilizopo kwenye genes alizochangiwa na wazazi wake....Pamoja na gene operating system[Activation & Deactivation] ndio vinavyofanya hayo yote yatokee.
Wewe nani alikuambia Mungu ndiye anayejua?hilo swali halina majibu hapa duniani bali Mungu pekee anajua siri hiyo
From the best capacity of your brain, describe that blue tooth like mechanism, how it looks like, and how it works.Not exactly getting inside and start to build the creature like a Fundi mashi? No ! To the best capacity of my brain I think there is a blue tooth like mechanism !
Nani mumiliki was "genes operating system"Sawa kabisa Mkuu! umeeleza vizuri.
Genes....information zilizopo kwenye genes alizochangiwa na wazazi wake....Pamoja na gene operating system[Activation & Deactivation] ndio vinavyofanya hayo yote yatokee.
Nature, ndio inayo-shape viumbe ili waweze ku-adapt kwenye mazingira yaliyopo.Unapozungumzia programmed robots ,INA maanisha bin Adam ndio programmer, sasa hii mechanism ya kilichotumboni ya cells kuwa "specialized" ,cells hizi za miguu,za macho za pua,nk...
Nani "programmer"?
Hizo genes na system zake zipo kwenye cells, wakati wa kuzaliana wazazi wanamchangia mtoto genes.Nani mumiliki was "genes operating system"
Android inamilikiwa na Google
Microsoft na Microsoft corporations
Symbiam Mali ya Nokia.
HAKIKA MUNGU WETU NI WAAJABU NA ACHUNGUZIKI DAIMA.
YEREMIA 1:4