nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,903
Ana nyimbo kama nne hivi.Nyimbo zako huwaga nztumia wkt wa kulala znakufanya umkumbuke mungu na kukupa matumaini
Hizi nyimbo🙌🙌 daah hala alituLia nakutulia sijawahi zichoka na stowah zichoka hzo nyimbo2.Uniongoze
3.Usifurahi juu yangu
Hiyo ' usifurahi juu yangu' inatumia ujumbe mzito sana1.Mungu Baba
2.Yesu Aliniita
3.Upendo wa Yesu
4.Hapa Nilipo
5.Atakuja kulichukua kanisa
6.Usifurahi juu yangu
7.Uniongoze
Nyimbo zangu bora za wakati wote kutoka kwa Upendo Nkone
Hizo bamba 4&7 ni [emoji95][emoji95]1.Mungu Baba
2.Yesu Aliniita
3.Upendo wa Yesu
4.Hapa Nilipo
5.Atakuja kulichukua kanisa
6.Usifurahi juu yangu
7.Uniongoze
Nyimbo zangu bora za wakati wote kutoka kwa Upendo Nkone
Hakuna aliyetoa history yake zaidi ya kutaja nyimbo zake
Kwa nilivyosikia NI kuwa alikuwa na mume,huyo mume akafariki.
Ndugu wa mume walimnyang'anya Mali alizochuma na marehemu mumewe
Ndo akaimba hizo nyimbo mlizotaja Hapo juu Kama vile unitetee,usifurahi ndugu yangu n.k nadhani NI Albany yake ya kwanza aliumba kwa hisia saana akiwa kwenye mapito.
Lakini kwa Sasa amepata mume mwingine
Ndo hayooo niliyoyasikia
Album ya kwanza iliitwa Mungu Baba ilikua na nyimbo kama Mungu Baba,Yesu Aliniita,Kanisa na nyingine .Album ya pili iliitwa Hapa Nilipo ikiwa na nyimbo kama Hapa Nilipo,Usifurahi Juu Yangu,Upendo wa Yesu n.k Wimbo wa Unitetee upo kwenye album yake ya tatuKwa nilivyosikia NI kuwa alikuwa na mume,huyo mume akafariki.
Ndugu wa mume walimnyang'anya Mali alizochuma na marehemu mumewe
Ndo akaimba hizo nyimbo mlizotaja Hapo juu Kama vile unitetee,usifurahi ndugu yangu n.k nadhani NI Albany yake ya kwanza aliumba kwa hisia saana akiwa kwenye mapito.
Lakini kwa Sasa amepata mume mwingine
Ndo hayooo niliyoyasikia.
Sawa,NI Hapo kwenye Mungu baba nadhaniAlbum ya kwanza iliitwa Mungu Baba ilikua na nyimbo kama Mungu Baba,Yesu Aliniita,Kanisa na nyingine .Album ya pili iliitwa Hapa Nilipo ikiwa na nyimbo kama Hapa Nilipo,Usifurahi Juu Yangu,Upendo wa Yesu n.k Wimbo wa Unitetee upo kwenye album yake ya tatu
Hii ndio historia yake? au historia ya Albam?Album ya kwanza iliitwa Mungu Baba ilikua na nyimbo kama Mungu Baba,Yesu Aliniita,Kanisa na nyingine .Album ya pili iliitwa Hapa Nilipo ikiwa na nyimbo kama Hapa Nilipo,Usifurahi Juu Yangu,Upendo wa Yesu n.k Wimbo wa Unitetee upo kwenye album yake ya tatu
Mimi sioni kama huwa anaimba. Huwa nasikia anaongea tuu. Pale ni beat tuna lisauti la maongezi lizitonmwanzo mwisho hakuna kuimba, labda tumwite rapa na sio mwimbaji