Nani anayejua historia ya Upendo Nkone?

Nani anayejua historia ya Upendo Nkone?

nashukuru mzima

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2017
Posts
1,014
Reaction score
1,903
Habari.

Leo nimekuwa nikisikiliza nyimbo za huyu Dada kiukweli nimevutiwa nazo na nimezipenda Sana .

Nani mwenye ufahamu wa maisha yake nje na muziki.

1685408396936.png
 
1.Mungu Baba
2.Yesu Aliniita
3.Upendo wa Yesu
4.Hapa Nilipo
5.Atakuja kulichukua kanisa
6.Usifurahi juu yangu
7.Uniongoze

Nyimbo zangu bora za wakati wote kutoka kwa Upendo Nkone
Hiyo ' usifurahi juu yangu' inatumia ujumbe mzito sana
 
Uniongozee yesu bado nakuhitaji uniongoze yesu kiongozi mwema

Naupenda sana
 
1.Mungu Baba
2.Yesu Aliniita
3.Upendo wa Yesu
4.Hapa Nilipo
5.Atakuja kulichukua kanisa
6.Usifurahi juu yangu
7.Uniongoze

Nyimbo zangu bora za wakati wote kutoka kwa Upendo Nkone
Hizo bamba 4&7 ni [emoji95][emoji95]
 
Mimi sioni kama huwa anaimba. Huwa nasikia anaongea tuu. Pale ni beat tuna lisauti la maongezi lizitonmwanzo mwisho hakuna kuimba, labda tumwite rapa na sio mwimbaji
 
Kwa nilivyosikia NI kuwa alikuwa na mume,huyo mume akafariki.
Ndugu wa mume walimnyang'anya Mali alizochuma na marehemu mumewe
Ndo akaimba hizo nyimbo mlizotaja Hapo juu Kama vile unitetee,usifurahi ndugu yangu n.k nadhani NI Albany yake ya kwanza aliumba kwa hisia saana akiwa kwenye mapito.
Lakini kwa Sasa amepata mume mwingine
Ndo hayooo niliyoyasikia.
 
Kwa nilivyosikia NI kuwa alikuwa na mume,huyo mume akafariki.
Ndugu wa mume walimnyang'anya Mali alizochuma na marehemu mumewe
Ndo akaimba hizo nyimbo mlizotaja Hapo juu Kama vile unitetee,usifurahi ndugu yangu n.k nadhani NI Albany yake ya kwanza aliumba kwa hisia saana akiwa kwenye mapito.
Lakini kwa Sasa amepata mume mwingine
Ndo hayooo niliyoyasikia

Kwa nilivyosikia NI kuwa alikuwa na mume,huyo mume akafariki.
Ndugu wa mume walimnyang'anya Mali alizochuma na marehemu mumewe
Ndo akaimba hizo nyimbo mlizotaja Hapo juu Kama vile unitetee,usifurahi ndugu yangu n.k nadhani NI Albany yake ya kwanza aliumba kwa hisia saana akiwa kwenye mapito.
Lakini kwa Sasa amepata mume mwingine
Ndo hayooo niliyoyasikia.
Album ya kwanza iliitwa Mungu Baba ilikua na nyimbo kama Mungu Baba,Yesu Aliniita,Kanisa na nyingine .Album ya pili iliitwa Hapa Nilipo ikiwa na nyimbo kama Hapa Nilipo,Usifurahi Juu Yangu,Upendo wa Yesu n.k Wimbo wa Unitetee upo kwenye album yake ya tatu
 
Album ya kwanza iliitwa Mungu Baba ilikua na nyimbo kama Mungu Baba,Yesu Aliniita,Kanisa na nyingine .Album ya pili iliitwa Hapa Nilipo ikiwa na nyimbo kama Hapa Nilipo,Usifurahi Juu Yangu,Upendo wa Yesu n.k Wimbo wa Unitetee upo kwenye album yake ya tatu
Sawa,NI Hapo kwenye Mungu baba nadhani
 
Album ya kwanza iliitwa Mungu Baba ilikua na nyimbo kama Mungu Baba,Yesu Aliniita,Kanisa na nyingine .Album ya pili iliitwa Hapa Nilipo ikiwa na nyimbo kama Hapa Nilipo,Usifurahi Juu Yangu,Upendo wa Yesu n.k Wimbo wa Unitetee upo kwenye album yake ya tatu
Hii ndio historia yake? au historia ya Albam?

Sent from my SM-J510FN using JamiiForums mobile app
 
Huna akili umezoea singeli
Mimi sioni kama huwa anaimba. Huwa nasikia anaongea tuu. Pale ni beat tuna lisauti la maongezi lizitonmwanzo mwisho hakuna kuimba, labda tumwite rapa na sio mwimbaji
 
Back
Top Bottom