Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,181
- 1,493
Sana tu!!!!!Pamoja kaka
Mashabiki wa Messi bhana
Mnadhani WC ni Copa Del Rey au La Liga hadi ichukuliwe kwa nguvu ya mtu mmoja.????
Hata UCL yenyewe timu yake ikiwa hovyo kwa nguvu zake mwemyewe anashindwa kubeba,alafu mnaongelea WC.??
Mliona mechi za kufuzu.?
Kama mliziona basi semeni tu kuwa HAITABIRIKI..
Kafie mbali...Mashabiki wa Messi bhana
Mnadhani WC ni Copa Del Rey au La Liga hadi ichukuliwe kwa nguvu ya mtu mmoja.????
Hata UCL yenyewe timu yake ikiwa hovyo kwa nguvu zake mwemyewe anashindwa kubeba,alafu mnaongelea WC.??
Mliona mechi za kufuzu.?
Kama mliziona basi semeni tu kuwa HAITABIRIKI..
Uko serious lknSenegal
Uko serious lkn
Sijakuuliza yote hayo...Niko kitandani
Sijakuuliza yote hayo...
[emoji23][emoji23][emoji23]we katunduSikua huko serious nlkua nimekaa kitandan mana uliuliza niko wap
[emoji23][emoji23][emoji23]we katundu
Not funny lkn
Sikua huko serious nlkua nimekaa kitandan mana uliuliza niko wap
Rwanda wanabeba...Senegal
Rwanda wanabeba...