Ndani ya uongozi wa juu wa CCM hali si shwari tena, kumetibuka vumbi hawaonani na kila mmoja anamtazama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Unguja.
Kamera nyingi zimewanasa viongozi wa CCM serikalini walio ndani ya Serikali ya Samia Suluhu, wakiwa wamemtolea mimacho kama waliopigwa shoti ya Umeme,macho yanayoomba kutaka kuonewa huruma.
Tiketi ya kugombea Urais Tanzania kupitia CCM ipo wazi (2025)na sasa ni mwendo mdundo ,kuna mivutano mikali uliojaa wanafiki wa kisiasa ,kila mmoja akijiona yeye ndio yeye.
Raisi Samia anaonwa kama amepita wrong turn na hatotaka kuendelea kugombea anaiwacha ngoma uwanjani.
Kamera nyingi zimewanasa viongozi wa CCM serikalini walio ndani ya Serikali ya Samia Suluhu, wakiwa wamemtolea mimacho kama waliopigwa shoti ya Umeme,macho yanayoomba kutaka kuonewa huruma.
Tiketi ya kugombea Urais Tanzania kupitia CCM ipo wazi (2025)na sasa ni mwendo mdundo ,kuna mivutano mikali uliojaa wanafiki wa kisiasa ,kila mmoja akijiona yeye ndio yeye.
Raisi Samia anaonwa kama amepita wrong turn na hatotaka kuendelea kugombea anaiwacha ngoma uwanjani.