dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,423
- 1,987
Kwahiyo walipokwa Fikra?Uchunguzi uanzishwe juu ya wale wahamiaji...Je ilikuwa dhamira yao au kuna kilichojificha? kama kulikuwa na blackmailing wasamehewe na warudishiwe fikra na uhuru wao waamue kwa fikra zao sasa...
Dunia kweli Uwanja wa fujo.😛