[emoji23][emoji23]timewilltellKwa sasa CCM imetulia sana!
Labda useme wale wahamiaji ndio kidogo wana mashaka mashaka!
Niambie kwanza Mbowe yupo wapi nae ni mawiki hajaonekana azarani, yupo wapi Alkaeli? Aafu tatajikita.Unaonaje ukijikita na kuijenga cdm ukaachana na ccm ?
Kulikoni mnawakana ndugu zenu si mliwanunua kwa fedha zetu enzi za siasa chafu za hayati.Kwa sasa CCM imetulia sana!
Labda useme wale wahamiaji ndio kidogo wana mashaka mashaka!
Lengo lako kutuaminisha kuwa ccm ya jiwe ilikuwa imepasuka na kupwaya siyo?Kwa sasa CCM imetulia sana!
Labda useme wale wahamiaji ndio kidogo wana mashaka mashaka!
Hata Yuda Iskarioti vile vipande 30 vya fedha alizopewa ili kumsaliti masihi ziliishia kununua konde la mfinyanzi la kuzikia wageni!Kulikoni mnawakana ndugu zenu si mliwanunua kwa fedha zetu enzi za siasa chafu za hayati.
Ilipasuka lini?Lengo lako kutuaminisha kuwa ccm ya jiwe ilikuwa imepasuka na kupwaya siyo?
Kama hivyo warejeshe fedha zetu tukajengee vyoo vya shule.Hata Yuda Iskarioti vile vipande 30 vya fedha alizopewa ili kumsaliti masihi ziliishia kununua konde la mfinyanzi la kuzikia wageni!
Si umesema ccm ya sasa hivi imetuia labda wahamiaji au siyo wewe?Ilipasuka lini?
Kiendacho kwa mganga hakirudi bwashee!Kama hivyo warejeshe fedha zetu tukajengee vyoo vya shule.
Sasa ikitulia ndio maana yake awali ilipasuka?Si umesema ccm ya sasa hivi imetuia labda wahamiaji au siyo wewe?
Kujipendekeza sasa basi, ukinyonga ukinyonga sasa basi tunaye Mama.Sasa ikitulia ndio maana yake awali ilipasuka?
Wewe Bavicha mbona mawenge mawenge?!!!
Madaraka yalivyo matamu kumung'unya usishangaa Bi.Mkubwa akashinikiza Katiba irekebishwe nae apate angalau 15 yake swaafi kunako Hatamu,Ndani ya uongozi wa juu wa CCM hali si shwari tena,kumetibuka vumbi hawaonani na kila mmoja anamtazama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Unguja...
Kwani CCM ni mali ya familia?Unaonaje ukijikita na kuijenga cdm ukaachana na ccm ?