Fredrick Nwaka
Member
- Jul 8, 2013
- 53
- 75
Ni yule anayeukubali muungano Ova!Je nani anaweza kuwa mgombea wa CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu?
Huyo Kombo simfahamu, ni nani? Hata hivyo atapewa mwanamama.Nani Magufuli anamtaka?
Hussein ana nafasi
Ingawa binafsi naona Mohammed Thabit Kombo angefaa zaid
Mama Samia Suluhu na Dr Hussein Mwinyi mmojawapo.Pilikapilika za uchaguzi mkuu wa Zanzibar zinaonekana kupamba moto. Rais wa sasa wa visiwa hivyo Dr. Ali Mohammed Shein anamaliza muda wake baada ya kuongoza vipindi viwili kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar.
Wengi wanatajwa kuwania urais wa visiwa hivyo kupitia Chama cha Mapinduzi akiwemo Shmsi Vuai Nahodha, Dr Hussein Ali Hassan Mwinyi, Balozi Ali Karume, Balozi Amina Salum Ali na wengine.
Je nani anaweza kuwa mgombea wa CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu?
Sent using Jamii Forums mobile app
He looks and sounds sane..ingependeza kama angepiga jalamba(warm up) Kwa term moja pale visiwa and then apewe the bigger role 2025Hussein is for JMT 2025
Husein mwinyi,japo CCM Tanganyika ndo huamua nani awe raisi wa ZenjPilikapilika za uchaguzi mkuu wa Zanzibar zinaonekana kupamba moto. Rais wa sasa wa visiwa hivyo Dr. Ali Mohammed Shein anamaliza muda wake baada ya kuongoza vipindi viwili kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar.
Wengi wanatajwa kuwania urais wa visiwa hivyo kupitia Chama cha Mapinduzi akiwemo Shmsi Vuai Nahodha, Dr Hussein Ali Hassan Mwinyi, Balozi Ali Karume, Balozi Amina Salum Ali na wengine.
Je nani anaweza kuwa mgombea wa CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu?
Sent using Jamii Forums mobile app