Kabulala
JF-Expert Member
- Oct 13, 2019
- 695
- 936
Hivi kuna nchi bara hili bado hazijapata Uhuru?After 2020 zanzibar itakua nchi huru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kuna nchi bara hili bado hazijapata Uhuru?After 2020 zanzibar itakua nchi huru
Zanzibar ilipokwa uhuru punde tu baada ya kuupata, Sahara ya magharibi bado inahangaikia uhuru wake kutoka Morocco, Anglophone Cameroon ina struggle ndani ya Cameroon.Hivi kuna nchi bara hili bado hazijapata Uhuru?
Ni kweli.mkataa muungano yeyote hashiki uraisi Zanzibar wala muungano Niko tayari kuiba kura kuhakikisha mpinga muungano hashiki uraisiNi yule anayeukubali muungano Ova!
Umri pia zaidi ya 60 ni too much !!!! Wengi wanakuwa wagonjwa vikongwe .Angalia vikongwe wengi waliogombea uraisi 2015 akina lowasa,Mohammed Bilal,Salim Ahmed Salim, wamechoka hoi wanatembea wanatetemeka tu wangeshinda uraisi tungekuwa na maraisi Wa kubebwa mabegani kuwapandisha majukwaani wahutubie wakimaliza unawabeba tena kuwashusha .Mtu kama kafika 60 akalee wajukuu inatosha asigombee uraisi ZanzibarYeyote kikubwa awe Mzalendo na kulinda mslahi ya Zanzibar na Tanzania
Asitumike na Mabeberu
Maalimu Seif hataki muungano hakuna ushindi hata ashinde ataporwa kura na umri umeenda na maradhi hayamwishimbona kwenye list maalim seif hujamuweka ?
dr hussein ally hassan mwinyi anafaa sana kwa 100%
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli tupu umenenaMaalimu Seif hataki muungano hakuna ushindi hata ashinde ataporwa kura na umri umeenda na maradhi hayamwishi
Ni kweli.mkataa muungano yeyote hashiki uraisi Zanzibar wala muungano Niko tayari kuiba kura kuhakikisha mpinga muungano hashiki uraisi
Ndio maana Seif Sharif hamad hawezi pewa hata siku moja lowasa naye alishindwa kupewa uraisi baada ya kujiunga na migaidi mikataa muungano ya chadema
Mtu asiyetaka muungano au yuko chama cha wakataaa muungano uraisi asahau
Nani Magufuli anamtaka?
Hussein ana nafasi
Ingawa binafsi naona Mohammed Thabit Kombo angefaa zaid
HM, alafu 2025 anakuja Bara kuchukua wa MuunganoPilikapilika za uchaguzi mkuu wa Zanzibar zinaonekana kupamba moto. Rais wa sasa wa visiwa hivyo Dr. Ali Mohammed Shein anamaliza muda wake baada ya kuongoza vipindi viwili kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar.
Wengi wanatajwa kuwania urais wa visiwa hivyo kupitia Chama cha Mapinduzi akiwemo Shmsi Vuai Nahodha, Dr Hussein Ali Hassan Mwinyi, Balozi Ali Karume, Balozi Amina Salum Ali na wengine.
Je nani anaweza kuwa mgombea wa CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu?
Sent using Jamii Forums mobile app