Nani awe wa kwanza kumnawisha mikono, baba au mme?

Nani awe wa kwanza kumnawisha mikono, baba au mme?

mathsjery

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
2,249
Reaction score
1,813
Nani wa kwanza kumnawisha, wakati wa chakula cha asubuhi, mchana na jioni?

Na ni kwanini?
 
Me sio mwanamke, ila nahisi itategemea mwenyeji ni nani.
 
Matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa uuuuwwiiiiiiii njoooniii huku
 
Back
Top Bottom