Wote ni baba. New research is suggesting that hata baada ya mtoto kuundwa bado sperms zinachangia uundwaji. Tena ahakikishe anaendelea kulala na posaible fathers wote manake dna ya mguuni inaweza kuwa tofauti na ya masikio kutegemeana na muundaji.
kha hiyo ndio kazi katika maisha ilinishinda kuwa na wanaume wawili ???
Hapa yai lili ovulate tarehe 29, sasa aliyewahi kufanya mapenzi ndo anachance kubwa ya kuwa baba wa mtoto kama tu baba huyo sperm zake ni matured. Lakini na wa pili naye ananafasi ya kuwa baba pia. Coz yai linaishi up to 72hrs. Kwa mimi ningekuwa binti mume wa kwanza ndo baba wa mtoto
Hapa yai lili ovulate tarehe 29, sasa aliyewahi kufanya mapenzi ndo anachance kubwa ya kuwa baba wa mtoto kama tu baba huyo sperm zake ni matured. Lakini na wa pili naye ananafasi ya kuwa baba pia. Coz yai linaishi up to 72hrs. Kwa mimi ningekuwa binti mume wa kwanza ndo baba wa mtoto