- Thread starter
- #21
mmh wawili ndani ya siku mbili? wadada mna ujasiri kushinda wa CHUI. hivi huon hata kinyaa unagongwa na huyu zen huyu tena.
kwa hili usijaji wadada peke yao hata wakaka mnafanya, hujasikia mtu anafanya kwny gari na changu then anaenda kwa mke wake anafanya.... ni jinsia zote zimeharibikiwa kiakili nowdays ndugu.